Asante kwa kuliona hili,palipo na zuri baya halikosi tumuombe mungu iko hawa wabaya wachache wanaolichafua jeshi nao watabadilika kuwa wasafi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww jamaa nilikuwa nakuchukulia poa kumbe ndiyo mbinu zako unataka kumung'oa demu wangu,sasa leo jioni nikitoka kazini utanitambua others wise usirudi home hakika utanipa kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka pole sana kwa tatizo hili,ila kama kweli uko serious njoo rukwa wilaya ya nkasi nikupeleke kwa mtaraamu nina imani hili swala litaisha utarudi ktk hali yako ya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kikawaida mtu akisema bujibuji ni msanii sana unamuelewaje kwa halaka?,so maneno ya Vanessa inaweza kuwa kweli /uongo,lkn wale ni watu wa kutafuta sifa
Kaka Yangu mpendwa pole kama ni kweli,lkn naomba nikueleze kitu hawa ndugu zetu ukimpa mtaji akawa anafanya biashara hapo mkoani ulipo then siku akasema anataka kufunga mzigo mkoa wa pili au tatu ndiyo mwanzo wa yy kuanza kupata wa kufunga naye mzigo na ukiruhusu hilo ktk familia yako usije kuja...
Kinachokuumiza hapa ni kiasi cha mshahala wake,lkn je unajua take home yake?
Je huko nyuma unajua maisha yake yalikuwaje ?
Kaa naye chini muonge kwa upole ukiwa unazungusha mauno utajua kwa nn anaomba hiyo 30
Usinifanye nifikili kwa niaba yako
Nashindwa nikuraumu au lah hasha,kama una mkeo ukitongoza ukiombwa 20,000 mnunulie mkeo na watoto wako matunda mpeleke wafurahie kama huna,tafuta wa kiwango chako hao wa 20,000 siyo saizi yako
Hivi wafanyabiashara wa karume bado hajafikili kuwa wale madalali pale wanawahalibia kazi na kuondoa uaminifu kwa wateja wa bara ambao wanakuja wakijua kuwa bongo kuna wezi?,mtu analazimishwa kushika kiatu na watu zaidi ya wanne humuoni kuwa huyu mteja hatonunua kuhofia usalama wake au hili nalo...
Kwanini si uwezo wetu wa kufikili unakuwa finyu au mavyakula tunayokula hususa haya makuku yasiyo na baba na mayai yasiyo na baba,swali ww mkeo akisafiri unaweza mlaza mchepuko chumbani kwa mkeo kama unamheshimu?,
Tumia ubongo kufikiri usitufanye sisi tufikili kwa niaba yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.