Recent content by Omnabuzegwe

  1. Omnabuzegwe

    Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo

    Ni kweli uyasemayo,lkn iangalie tofauti kubwa iliyopo kati ya hizo shule. Zingine walau kaunafuu kapo. Sasa kweli shule ya Advance zero zinakuwa nyingi kuliko waliofaulu.....haya ni majanga!
  2. Omnabuzegwe

    Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo

    Haya matokeo yameleta furaha kwa vijana na shule zilizofanya vzr. Na ktk hilo hata wazazi wa watoto waliofaulu wamepata faraja sambamba na walimu wa shule zilizofaulisha vzr. Lakini kupitia matokeo hayo tupo wazazi wa vijana na vijana wetu (wanaoingia kuanza kidato cha tano) ambao...
  3. Omnabuzegwe

    Kwako mkurugenzi mkuu wa NIDA

    Nadhani hawa watu wa NIDA kuna kitu kinawasumbua na hawako tayari kuwaeleza Watanzania ukweli,na kwa ukimya huo tutawazidi kuwasuta sana. Yaani suala la mtu kupata namba ya kitambulisho tu limekuwa gumu sana,utadhania haya mambo tunayafanyia nchi nyingine. Lkn wanapofanya hivyo,wajue kuna...
  4. Omnabuzegwe

    Pierre Gumbo ‘Liquid’ akiwa na Spika Ndugai na Naibu Spika Tulia!

    Kwa hili nilisema na nitazidi kusema..:- Mh.Paul Makonda uko sahihi na jambo la kusikitisha kama huyu naye eti habari kwa sasa! Labda tupeni jipya tusilolielewa kumhusu huyo mtu anaitwa Likwidi,mmmhhh hii nchi sasa...!!!
  5. Omnabuzegwe

    Yaliyojiri kwenye hafla ya Jokate maarufu "TOKOMEZA ZERO"..Paul Makonda alikoroga tena...

    Big up sana Mh.Makonda! Ili nchi yetu iende hakika inawahitaji wenye ujasiri wa kukemea yasiyostahili hadharani tena pasipo woga wowote. Daahhh...!For the first time U have inspired me brother! Haiingii akilini watu na akili zao timamu mnaandaa event ya kuhamasisha jambo kubwa tena la kuinua...
  6. Omnabuzegwe

    TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

    Daah..! Kifo tumekizoea sawa,lkn kinapokuja ktk style hii ya kuwachukua watu wawili wanaoishi na kufanya kazi pamoja ndani ya siku 14 kinatuacha na simanzi yenye maumivu makali sn. Anyway hatuna uwezo wa kubishana na tendo hilo na tunajizuia kumkosoa MUNGU lkn binafsi...nakosa neno sahihi...
  7. Omnabuzegwe

    Benki kuuza nyumba ya mteja iliyowekwa dhamana kwa bei ya kutupwa

    Kuna wakati mtu anatoa kauli ambayo inakupa kusimama kuendelea kujadiliana naye lolote,kwan mtu kudhania kwenda kukopa benki ni umasikini wa fikra inatosha umjue kuwa anachokisema hakijui. Angalau umejikaza wewe umemjibu bro...!
  8. Omnabuzegwe

    Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

    Kwan kuwa kwao askari ndiyo kuwape kuingia kwenye hatari ya kifo kichwakichwa pasipo tahadhari au uliambiwa mtu akiwa askari kufa ni halali yake..??
  9. Omnabuzegwe

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

    Sina hakika hili litaishia kwa huyu mama tu,tusubiri huenda tutasikia. Haiwezekani kuhatarisha kura za kada ya wafanyakaz kwa mzaha kama huu kisha uendelee kuzunguka pale mezani...mimi hata mate sijameza,nasubiri hili kwa kiu kubwa
  10. Omnabuzegwe

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

    Bora umeliona hili...wengne wamejaza povu kwa mdada aloondolewa kiti pekee. Nimependa fikra hizi
Back
Top Bottom