Ipo hivi.
Unaponunua simu toka mtandao husika like Tigo, Voda nk. wanakupa offer ya GB, Sms and dakika. Hii offer inaweza kuwa activated hata kwenye line yako ya siku zote so no need kwa wao kukupa line mpya unless ukihitaji.
Inawezekana vipi kuunga hii offer kwa line ambayo haikuwa katika...
Wazee wa kupiga promo....naona mmehamia na huku pia.... Haya bnh wazee wa kutumia fursa ndo muda wenu ila zingatieni utu na hiyo bunduki yenu itaua watu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hapa UEFA inakwenda saaafi kabisa.........Mkuu Jogi wakati nasubiri kufunga hii trade nisaidie Vitabu Vya Kubet Nianze kuvisoma huenda vinalipa navyo...[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Cc jogi
0.72830 kama uli sell hapa....30 pips away si itakuwa 0.72860 ...maana naona sl yako imeenda mpaka 0.73120 au mkuu naona vibaya na order number ni moja
30pips? Au mm nachanganya wapi...
#62722387 hii order naona entry point yake ni around 0.72830 na SL ni 0.73120 ...je hapa ni 30pips? Au kuna kitu nachanganya ???
Nifungue akili kidogo mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.