Wazazi wenye watoto wakiume.
Dunia imebadilika hii, wafundisheni watoto kazi za nyumban, kuna leo na kesho. Sio kazi za nyumban ziwe za watoto wa kike tu. Dada yangu kapata wageni shemeji zake wadogo tu wamefunga shule..form 2, 4 , na 6. Hawafanyi kazi yoyote ndani kisa wa kiume.
Dada anaamka...
Naomben masada wenu wa mawazo
Nimeachika ninawiki sasa ninawatoto 2 mmoja ana 7yrs na mwingine ana miez 8 sasa. Naomben masada wa mawazo nifanye nini kwa sasa ili nijikimu kimaisha?
Nina nurse mwaka mmoja na ADDO kwa ajiri ya kutoa dawa (kuuza duka la dawa). Nilikua nadukaa la dawa nimemuachia...
Habar za jumapil
Wapendwa samahan Kama nawachosha na maisha yangu binafsi naombeen mnisamehe nimapito tu ambayo ipo siku yatakua historia
Ipo hivi nimefanikisha kuachana na jamaa nimerudi nyumban changamoto iliyopo wakati ananioa nilihamia kwake na vitu vyangu
Kabati la nguo
Kabati la vyombo...
Miss Kuna vitu ni rahisi tu kuvifikiria kwa juu
Lkn Kama unapitia ningum mno
fikiria mtu uliamini ni mwenzako na hakua hivyo anakuja kufanya kisa mtoto
Binafsi nimehangaika hospital naambiwa Sina tatizo
Nimekunywa dawa nyingi za kienyeji bila mafanikio
Mtu afanye kwa starehe yake sio sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.