Ninyi ni wendawazimu haswaa,yani unamgushi mtu kiaje? Kwa hiyo Halima mdee na wenzake ni vivuli siyo watu halisi?ndiyo maana mkapa aliwaita wapumbavu!!! Kama majina ni ya kugushi basi hawajaenda kuapa wenye majina???
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
MWANASIASA Mkongwe Zanzibar, Baraka Mohamed Shamte, amemtaka kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe, kabla ya kudai kumefanyika maonevu na unyanyasaji, kwanza aileze dunia kiongozi gani wa chama chake aliyewaamrisha wafuasi wake kubeba silaha za jadi na kujiweka...
MWANASIASA Mkongwe Zanzibar, Baraka Mohamed Shamte, amemtaka kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe, kabla ya kudai kumefanyika maonevu na unyanyasaji, kwanza aileze dunia kiongozi gani wa chama chake aliyewaamrisha wafuasi wake kubeba silaha za jadi na kujiweka tayari kwa mapambano.
Pia...
Hatunaga mda na mitandao sie tuko kitanda kwa kitanda nyumba kwa nyumba wala huo hapashawishi wapiga kura wetu,nyie kalieni kwenye mitandao lakin msije kusema mmeibiwa kura!!!
Wewe ni mwongo mkubwa chadema wamejiandaa wapi?? Kwetu hawana hata kiongozi mmoja na makao makuu ya mkoa sasa hayo mashina na matawi yako wapi? Tengenenzeni plopoganda zenu lakini ukweli utabaki kuwa ccm hakijapata upinzani wa dhati
Kwanini hawajakufuntgia na wewe yako? Uongo mwingine punguzeni! Membe a7natkangaza kurudi nyumbani kauwasoma wapinzani hawajawa na nia ya kuchukua nchinchihfkekokahk.rg7g
Na mimi nimekumbuka watumishi walivyokuwa wamegeuza ofisi za umma kama mali yao, kwa Magu thubutu tena uone kazi! Halipo tena Magu mitano tena tunampa
2. Walimu waliokuwa wanafundisha kijijini walipofuata mishahara walioamua kulewa takribani wiki mbili bila kurud shuleni wakisingizia foleni...
ZITO ADHIHILISHA WAZI ADUI NA. 01 WA MKOA WA KIGOMA.
Salam sana wana KIGOMA
Nimesikiliza kwa makini moja ya hotuba yake aliyoitoa mwandiga wakati akimwombea kura mgombe ubunge kupitia chama cha ACT WAZALENDO akijibu hoja za mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM ndg Magufuli...
We waambie wakose sifa za kugombea halafu uwadanganye kuwa watakuwa salama! Tume ipo kwa mjibu wa sheria vyama vyetu vya upinzani mnaokota okota wagombea waliopoteza sifa za kugombea mkidhani watapata rehema??
Zito jiandae kujiondoa wagombea wako kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi wa 2020-2025...
Hatagombea Lisu wenu kwa sababu ya kupoteza sifa za maadili, ubunge wake hamkubuki kilichoupoteza? Hivyo pingamizi kwenye wagombea litamhusu. Subirini mtaona
Shida ni kutangulia kwao weupe na kupewa fikra pevu za kuona mbele kuliko mweusi,tukubali tusikubali kwa mawazo ya kipumbavu ya kupinga hata mazur yanayoonekana kufaulu kwa JPM wacha tuwe manamba tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.