Recent content by Omary Shunda

  1. O

    Samsung tablet iko kwa soko

    Nataka lkn nipo Moshi
  2. O

    Kuna nini TANESCO watangaze kupandisha gharama za kununua umeme kwa kilimanjaro pekee na siyo mikoa mingine yote nchini?

    Huyu anaelalamika haelewi mm piano nilikuwa napata unit 75 Kwa sh 10000/ nikazidisha nikarudi kwenye Umeme wa sh 10000/ unit 28.1 Kwa hiyo ni kawaida siyo Kuwa umepanda bei
  3. O

    Ajali: Mabasi ya Kampuni ya Newforce Enterprises yagongana maeneo ya Ruaha Mbuyuni

    Tatizo la madereva wa mabasi wanafuata gari kwa karibu sana
  4. O

    Masoud djuma ..na kiatu kisichomtosha..

    Huyu jamaa wacha aondoke anakoroga sana klabu na ni mbinafsi
  5. O

    Naomba Kujua Ulaji wa Mafuta(Diesel) wa Nissan Safari Engine TD 4.2

    Lita 8 - 12 siyo kweli uhakika 5-6.2 ndiyo uhakika wa Nissan Sent using Jamii Forums mobile app
  6. O

    Nikibadili Email kuna tatizo?

    Unaweza kufungua nyingine halafu wewe uwatumie email yako kuwa umebadili email yako Sent using Jamii Forums mobile app
  7. O

    Mcheza Mpira Victor Wanyama, apewa jina la mtaa jiji Dar, Meya atoa ufafanuzi

    Kwa hapo tumebuma kumpa Wanyama mtaa kwa kipi kikubwa serikali iingilie jambo hili siyo kila mtu afanye anavyotaka
  8. O

    Nmekuja kuamka Siku ya Pili nimevaa boxer tu. akina dada na wanaume wenzangu chondechonde

    Usione vyaeleya vimeumbwa usipende kuchukua mzigo usiyoujua ndiyo madhara yake
Back
Top Bottom