Dah... cjajua tatzo ni nini ktk nchi yetu.. Mana walimu wanaodai ni wengi mpaka sasa.. km pesa za kucmamia mtihani wa kidato cha nne mwaka jana pamoja na pesa za likizo.. cjajua Tanzania yetu shida ni gani?
kuna yule mtu ambae yuko lushoto anataka kuha100 Tukuyu nimepoteza contact zake.. km vp anicheki.. zile mishe nilizokuwa nazisubilia ziko poa kwa sasa...
Jamani hv certificate ya ualimu ndo haipo tena? mana kimya na hata utaratibu cjaufahamu mpaka sasa.. km kn mtu anajua kuhusu ilo naomba anijuze.. kn dada yangu mdogo ana four ya 26.
kn kijana ana izo cfa alimaliza 2011 sema ni lumpeni thx y anashindwa hata kufanya iyo application.. vipi iko chuo unachozungumzia ada yake ikoje na kiko wapi? ni day au bording... km vip nilook kwa 713201641
MIMI NI MWL WA SEKONDARI HAPA TUKUYU MBEYA NI WAKITAMBO KAZINI.. NATAFUTA MWL WA KUBADILISHANA NAE.. YEYE AJE 2KUYU MIMI NIJE KIBAHA, MKULANGA, MORO TOWN AU TANGA MUNICIPAL.. 0769351092
Na kama utaratibu umebadilika inawezekana hata wasitoe majina km tunavyozani wakabandika majina ktk halmashauri usika tu... waliohama july hawakupata hii presure mana wao b4 JULY wakawa wametupia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.