Sifa za kusoma kozi za afya,karibu!!

kombaME

JF-Expert Member
Aug 24, 2015
2,115
2,818
Wandugu habari, naona vijana wengi wanauliza sifa za kujiunga na kozi za afya, mimi nitajikita kwenye ngazi ya cheti na sitashahada. Ili uweze kusoma kozi yoyote ya afya ngazi ya cheti lazima uwe umefaulu kuanzia daraja D kwa masomo ya Physics,Chemistry na Biology. Ukitaka kusoma sitashahada yoyote ya afya uwe na ufaulu ufuatao, Phys kuanzia D na kuendelea,Chem kuanzia C na kuendelea na Bios kuanzia C na kuendelea. Kama una sifa njoo PM tusaidiane maana kuna chuo kitachukua wanafunzi wa kozi ya maabara mwezi huu. (Pia kuna kozi imeanzishwa hii mpya ya community health ambapo vigezo vyake ni D moja ya somo lolote la sayansi na D tatu kutoka kwenye masomo mengine)
 
Asante sana mkuu kwa habar hii
Mimi ninamambo mawili hivi nahitaji nifahamu zaidi
1.Nilimaliza kidato cha nne mwaka 2011 na matokeo yangu ni kama ifuatavyo
IV-29, civ.D, kisw.D, eng.D, chem.D, Bio.D,eng/sci.D,b/math.F,elec eng sci.F,radio&tv.F na elec draught.F.
Eng/sci=phy maana nilisoma shule ya ufundi.
Kwahiyo ni kozi gani naweza soma ambayo itaniwezesha kunikwamua.
2.huyu ni mdogo wangu amemaliza mwaka 2015 na matokeo ni kama ifuatavyo III-22
Civ.D, kisw.C,eng.C,chem.C,bios.C,phys.D,math.D,hist.C,geo.C.
Mwenyewe anapenda asome diploma ya clinical officer au medical assistance
Je anaweza akapata nafas na vipi afanye ili kufanikisha lengo lake
Naomba msaada wa hayo mambo yangu mawili muhimu.
Mawasiliano zaidi 0713092177 tafadhar ni serious
 
Asante sana mkuu kwa habar hii
Mimi ninamambo mawili hivi nahitaji nifahamu zaidi
1.Nilimaliza kidato cha nne mwaka 2011 na matokeo yangu ni kama ifuatavyo
IV-29, civ.D, kisw.D, eng.D, chem.D, Bio.D,eng/sci.D,b/math.F,elec eng sci.F,radio&tv.F na elec draught.F.
Eng/sci=phy maana nilisoma shule ya ufundi.
Kwahiyo ni kozi gani naweza soma ambayo itaniwezesha kunikwamua.
2.huyu ni mdogo wangu amemaliza mwaka 2015 na matokeo ni kama ifuatavyo III-22
Civ.D, kisw.C,eng.C,chem.C,bios.C,phys.D,math.D,hist.C,geo.C.
Mwenyewe anapenda asome diploma ya clinical officer au medical assistance
Je anaweza akapata nafas na vipi afanye ili kufanikisha lengo lake
Naomba msaada wa hayo mambo yangu mawili muhimu.
Mawasiliano zaidi 0713092177 tafadhar ni serious
Mdogo wako anaweza piga diploma yoyote ya afya,ila wew umechemka kwenye eng.sc/phys so labda uje upige community health mwaka mmoja mkuu
 
Vipi kama umemaliza 2009 form four unaweza soma diploma ya gani ya afya kwa matokeo Phy.C, chem.B, Bios D,Math.B na mengnne yote C..msaada tafadhali cc KombaME.
 
Mdogo wako anaweza piga diploma yoyote ya afya,ila wew umechemka kwenye eng.sc/phys so labda uje upige community health mwaka mmoja mkuu
Mdogo wako anaweza piga diploma yoyote ya afya,ila wew umechemka kwenye eng.sc/phys so labda uje upige community health mwaka mmoja mkuu
Mkuu naomba msaada wako kama hutojali Form 4 2009 matokeo PHY C,CHEM B,Math B,BIOS D..Mengne yote C je anaweza kusoma clinical mwaka huu serikalini?
 
Nashukuru sana mkuu so hata certificate ya clinical officer haiwezekani kwa sababu ya D ya eng/sci =phys,
 
Mkuu kuna ndg wng matokeo yak km ifuatavy
Phy d
Chem c
Bios b
English c
Math. F yte yaliybakia c
Ufaul wke ki ujmla an dv ii ya 21 je anaweza kusomea diploma IPI kW mawasilian zaid 0716081844 s
 
kn kijana ana izo cfa alimaliza 2011 sema ni lumpeni thx y anashindwa hata kufanya iyo application.. vipi iko chuo unachozungumzia ada yake ikoje na kiko wapi? ni day au bording... km vip nilook kwa 713201641
 
Jamani hv certificate ya ualimu ndo haipo tena? mana kimya na hata utaratibu cjaufahamu mpaka sasa.. km kn mtu anajua kuhusu ilo naomba anijuze.. kn dada yangu mdogo ana four ya 26.
 
Mkuu naomba msaada wako kama hutojali Form 4 2009 matokeo PHY C,CHEM B,Math B,BIOS D..Mengne yote C je anaweza kusoma clinical mwaka huu serikalini?
D hiyo ya bios imeharibu hapo. Huwezi pata diploma yoyte ya afya ila certificate poa
 
Wandugu habari, naona vijana wengi wanauliza sifa za kujiunga na kozi za afya, mimi nitajikita kwenye ngazi ya cheti na sitashahada. Ili uweze kusoma kozi yoyote ya afya ngazi ya cheti lazima uwe umefaulu kuanzia daraja D kwa masomo ya Physics,Chemistry na Biology. Ukitaka kusoma sitashahada yoyote ya afya uwe na ufaulu ufuatao, Phys kuanzia D na kuendelea,Chem kuanzia C na kuendelea na Bios kuanzia C na kuendelea. Kama una sifa njoo PM tusaidiane maana kuna chuo kitachukua wanafunzi wa kozi ya maabara mwezi huu. (Pia kuna kozi imeanzishwa hii mpya ya community health ambapo vigezo vyake ni D moja ya somo lolote la sayansi na D tatu kutoka kwenye masomo mengine)
Diploma za nursing sifa ni zipi?
Mkuuu
 
Back
Top Bottom