Wakuu naomba msaada kama kuna namna ya usafirishaji wa bidhaa kutoka Nairobi mpaka Mwanza. Hii ni kutokana na zuio la mipaka tangu kipindi cha Corona.
Sasa hatuwezi ingia ila naona bado biashara mbalimbali zinaendelea nami pia nahitaji bidhaa kutoka Nairobi ila sijui wengine wanafanyaje.
ni perume za kiwandani ila CONCENTRATED PERFUME OIL yaani haijapunguzwa ubora wake
hivo ziko ghali nami nafanya kupima pia ku design kwa kuchanganya kua na manukato ya kipekee
Je, wajua kuhusu marashi, pafyume, uturi na manukato?
MARASHI ni vitu vyenye manukato vinavotumika kuandaa perfume km vile maua, matunda, majani nk.
PERFUME ni kimiminika kilichoandaliwa kutokana na marashi
Kuna aina tatu za perfume
1. Eau de Cologne na Eau de toilette, hizi ni kiwango cha...
NATAFUTA MFADHILI AU MUWEZESHAJI, MTU BINAFSI AU TAASISI
Habari zenu wakubwa kwa wadogo.
Naitwa Omar. Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na perfume napatikana Mwanza. Malengo yangu ni kukuza biashara yangu na kuifanya biashara katika hadhi inayowapendeza wengi.
Nahitaji mtu binafsi...
Ongera Sana ndugu.
Naomba kukuuliza kutokana na experience yako kwan nami nna ndoto ya biashara hii
1.bado unaendelea na biashara hi?
2.vipi ukuaji wa soko ukoje?
3.Soko lako kubwa liko wapi kwa Sasa?
4.unauza jumla au rejareja
5.natakiwa kuandaa shilingi ngapi angalau kuanza?
Habarini wana JF nina mtaji wa sh laki tano (500000) nimefikiria biashara ya kuuza chakula yaan kwani watu wanadai inalipa sana.
Ila kwa kua sina uzoefu nayo hivyo nmejikuta nna maswal meng kuhusu mtaji wang km unatosha au laa?
Na je nimefanya chaguo sahihi au laa?
Pia mchanganuo wa biashara hii...
Soko la dagaa kahama lipo, nmewahi fanya biashara hii, dagaa wenye ushindani wanataka fagaa weupe, wakubwa wasio na mchanga basi apo unaweza uza zaid ya gunia kwa siku ioio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.