Habari wana jamvi,
Mimi nahitaji msaada wa mawazo kutoka kwenu juu ya biashara ya viatu vya kimasai au culture.
Mtaji wangu ni laki 5 ujuzi wa kutengeneza viatu vya kimasai ninao pamoja na cherehani sijawahi kufanya biashara hii ila huwa naona tu watu wanauza viatu hivyo mtaani na kwenye social media mbalimbali.
Nahitaji ushauri juu ya vitu vifuatavyo:
Soko lake likoje kwa ujumla?
Bei ya msasa au Mota ya 0.5 hp?
Na vitu gani vya kuzingatia kwenye biashara hii?
Mm Niko mwanza
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Kwa wenye uelewa juu ya biashara hii naombeni mawazo yenu.
Mimi nahitaji msaada wa mawazo kutoka kwenu juu ya biashara ya viatu vya kimasai au culture.
Mtaji wangu ni laki 5 ujuzi wa kutengeneza viatu vya kimasai ninao pamoja na cherehani sijawahi kufanya biashara hii ila huwa naona tu watu wanauza viatu hivyo mtaani na kwenye social media mbalimbali.
Nahitaji ushauri juu ya vitu vifuatavyo:
Soko lake likoje kwa ujumla?
Bei ya msasa au Mota ya 0.5 hp?
Na vitu gani vya kuzingatia kwenye biashara hii?
Mm Niko mwanza
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Kwa wenye uelewa juu ya biashara hii naombeni mawazo yenu.