nimekishtukia muanzsha uzi hahaa we ni noumer unataka kujua jnsia za watu kwa kuadd digit na kuless hahahaaaa ee jmn mmeona kwa kuulza jnsia w2 walgoma mmetafuta mbinu mbadala...gud
Pole mamii uyo ni mshenz mwanaume na ukimchekea utavuna mabua mpz ..cha msng achana na waganga mana ht ukimfanya ndondocha hutapata faida yyt..ww sasa hv pgania mwanao apate matunzo basii so fata utaratbu kwnd kansani uwambie tn mkubaliane kwa maandsh atunze mtt wk tu asilete janja ya nyani...
ni kweli kla mtu anakasoro zk yupo mlev mwngn co mlev ila hvyo vtuko...yn wapo km surual zny vilaka,wengn blu,chekundu,njano,wengn wana vrka vya turubai vigumuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.