Nina umri wa miaka 23.
Kazi yangu mfugaji nipo Bariadi.
Elimu yangu darasa la saba..lakini sitofautiani na mwenye PHD.
Dini yangu mkristo.
Kijana mrefu mweusi kiasi.
Kabila langu msukuma wa shinyanga vijijini..
Sifa za mchumba nataka msichana awe mweupe mzuri, umri kuanzia miaka 19-25. Sichagui...
Hahaha mimi nipo bariadi mjini kwa wajanja.
Tunafuga n'gombe na tunalima mavitunguu...nyie mnaokaa darisalama kazi yenu umbea tuu..hamna mifugo kazi yenu mnafuga tunjiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.