Recent content by Olepet

  1. O

    Kutoka Dodoma: Fred Mpendazoe atangaza rasmi kurudi CCM

    Duh chezea njaa, labda atapewa uenyekiti wa kijiji
  2. O

    Magufuli atumia lugha ya Kiswahili kwenye hotuba ya kumkaribisha PM wa India

    Lugha pia ni kielelezo cha uzalendo wa Taifa letu
  3. O

    Professor Mtanzania kaajiriwa kama dereva Ubalozi wa Kenya Marekani

    Duh hiyo ni ngumu Kumeza, siwezi kuamini kha,
  4. O

    Yanayojiri Bungeni Dodoma - 11 Mei, 2016

    Kumbe limeanza kurushwa live ee, safi sana
  5. O

    Mkakati mzito wasukwa kuinusuru bandari ya Dar es Salaam na kupungua kwa mizigo

    Wafanyabiasha waliozoea ukwepaji kodi kwa hiyo sasa wamekuwa shocked wanakimbia haha
  6. O

    Wabunge wapinga billlioni 6 kurejeshwa Serikalini

    Safari hii wataisoma namba aisee
  7. O

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji la Dar, Wilson Kabwe. Makonda amtuhumu kuongeza mkataba wa maegesho bila mchakato

    Hii safi sana style ya kutosubiri, hapo hapo on the spot atumbuliwe fisadi
  8. O

    Mhasibu H/shauri Singida kortini kwa kupokea Tsh29.4m za watumishi hewa

    Yaani wote waliohusika washughulikiwe maana wameiba hela za wavuja jasho muda mrefu sana kha
  9. O

    Wazalisha watumishi hewa kikaangoni

    Hatua zichukuliwe kwa waliokuwa wanafaidi na hizo hela
  10. O

    Rais Magufuli aamua hotuba zake zote ziwe kwa Kiswahili

    Lugha ni moja ya tunu
  11. O

    Bandari yasaka meli 65 zilizotoweka

    Kha ilikuwa makontena sasa meli aisee mbona hii majanga sasa, wahusika watumbuliwe fasta
  12. O

    SSRA walipa pango bilioni 600 kwa mwaka (Gazeti la Mtanzania)

    Kha sio shamba la bibi tena itakuwa la adui aisee
  13. O

    Panama Papers Yawaumbua Mabepari ya magharibi.

    Chezea bepari wee
  14. O

    NSSF yazidi kuumbuka: Ufisadi wa ujenzi wa Hoteli Mwanza, jengo la biashara Mzizima

    Duh na maufisadi yote hayo bado wahusika wako mtaani??
Back
Top Bottom