Wafanyakazi wa ndani (HG) au wafanyakazi gani wanalipwa kiasi kidogo kisichofika hata 50elfu kwa mwezi?
Wafanyakazi wa ndani (HG) au wafanyakazi gani wanalipwa kiasi kidogo kisichofika hata 50elfu kwa mwezi?
weita ongeza nzagamba nyingine, yule pale mpe bia, polepole tutaelewana, mpinzani wa ccm sio chadema ni majizi mabadhirifu na mafisadi, na ukitaka kujua ccm iko imara tishia uhai wake.Habari za Jioni,
Wimbi la mishahara hewa sasa limeanza kuwahusisha walengwa,Huko singida Mhasibu wa Halmashauri ya Singida Bw.Imani Abdul kizimbani kwa kupokea shilingi milioni 29.4 kwa kipindi cha mwaka 2013/2014 za wafanyakazi 57.(leo 15.4.2016.
Chanzo:Mwananchi.
Ikumbukwe kwamba waziri mkuu akiwa lindi aliagiza watumishi waliosababisha watumishi hewa wachukuliwe hatua za kinidhamu na kisheria.Naipongeza serikali kwa kazi nzuri ya kudhibiti mchwa.
mgambo wa jiji na wafagia barabara.Wafanyakazi wa ndani (HG) au wafanyakazi gani wanalipwa kiasi kidogo kisichofika hata 50elfu kwa mwezi?
wanajamvi wanahitaji kuwa verified, else change the name from Great thinkers to something else. name does not reflect the package of users.
Uko nje ya mada...swali lako halina mashikoWafanyakazi wa ndani (HG) au wafanyakazi gani wanalipwa kiasi kidogo kisichofika hata 50elfu kwa mwezi?
Kina Kweka wame save eeMhasibu Halmashauri Singida Imani Abdul (44) afikishwa kortini leo akituhumiwa kupokea Sh29.4m za wafanyakazi hewa 57 tangu 2013 hadi 2014.