hakuna uwanja unaoitwa karume arusha bali upo uwanja wa sheikh amri abeid kaluta...usipende kuwapotosha watu..sheikh kaluta ukitaka kumjua uliza upewe elimu na usipende kukurupuka...be a great thinker.
wajumbe wa kamati kuu wapo 34 ambao watachuja majina ya waombaji wote na kisha majina 3 ndo yatapelekwa nec...halmashauri kuu ya ccm taifa ambayo ina wajumbe wengi kama 360 ili wayapigie kura.
Wadau,
Bila shaka mnampata vizuri huyu mpambanaji JAPHET SIRONGA ambaye aligombea udiwani katika uchaguzi mdogo juni 2013 kata ya Makuyuni ila kutokana na dhulma na ubabe aliofanyiwa hakuweza kushinda na kwa kuwa bwana mkubwa anautaka urais ni wazi jimbo hilo halina mwenyewe.
Wale mliopo...
hakuna malipo yoyote..ila elewa hakuna aliye msafi ndani ya ccm lakini angalai kwa Lowassa jamaa anaweza kutuvusha hadi mahali tunapotaka kuwa..maamuzi yake magumu yatasaidia kuzifanya halmashauri zote kuwajibika..
nakuunga mkono....tupia updates za kutosha na haturudi nyuma..jamaa anakubalika mbaya na makundi yote..Mungu akipanga hakuna wa kutengua mpango wake..Lowasa for president 2015..
ni kweli sms zake zinakera..ila nasi tujiepushe na matusi..hiyo ndo athari ya mtoto kukosa malezi mazuri kutoka kwa mama yake kama vile huyo mama alivyowakosea wa tz...amechanganyikiwa na lisura lake hovyo aliyejitahidi kuipendezesha kwa vijisent vya mama yake fisadi..
wadau...katika hotuba ya mh rais nimependa sana alivyokuwa anawasuta wale wote waliokuwa wanawatetea wezi wa pesa za escrow...nikimkumbuka yule mama wa viti maalum nahisi amechomwa msumari wa moyoni na ile hotuba..sijui hata akirudi bungeni atawatazaje wenzake kutokana na kauli yake ile ya...
Wadau...katika hotuba ya mh rais nimependa sana alivyokuwa anawasuta wale wote waliokuwa wanawatetea wezi wa pesa za escrow...
Nikimkumbuka yule mama nahisi amechomwa msumari wa moyoni na ile hotuba..sijui hata akirudi bungeni atawatazaje wenzake kutokana na kauli yake ile ya kutetea mafisadi...
wadau amani iwe nanyi......wakati tukiendelea kupata matokeo ya awali ni nini tatizo linakwamisha matokeo rasmi yasitangazwe?hakika uchaguzi huu pamoja na dosari zilizojitokeza imeichanganya serikali kwani hawakutarajia upinzani kama wangechukua vijiji,mitaa na vitongoji vya kutosha..naamini...
hapana..huyu ni wa ccm ambaye alikuwa amefanyiwa hiana kwenye kura za maoni walimwengua wapiga kura wake wakakataa na wakaamua kumuapisha..nipo kiteto moto wa mabadiliko ni mkubwa..cdm mjini imeosha mitaa 5..matui mitaa yote kasoro 1..kata ya sunya cdm imechukua vijiji viwili vya sunya na olgira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.