Tuache maskhara hili ni jipu kubwa sana yaani tunaliwa kama serikali haipo vile au kwa kuwa wakubwa wana maslahi huko? Mzee wa majipu halioni hili jipu limeoza na linanuka!
Wadau ni siku ya tatu leo mgombea uraisi wa ccm haonekani jukwaani na kuna taarifa kwamba mzee mkapa ameitwa kusimama jukwaani ili kuokoa jahazi. Inaleta utata maswali yamekuwa mengi mtaani, mwenye taarifa aliko magufuli tupia hapa tafadhali.!
Mwaka 2010 kuna mambo ccm kwa umoja wao walisema haviwezekani hata kuita ni uwendawazimu. Elimu bure,kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi n.k...leo kwa mazoea yale yale wameyakimbia maneno yao wanacopy ilani ya cdm.Naliona anguko la ccm kwa kukiri kwake kukwamisha huduma muhimu za kijamii na...
Mwambie mwakyembe akueleze kwanza alichoficha kulinda serikali isianguke!Umesahau kauli hii ya mwakyembe mapema hivi,au unajitoa ufahamu?Acha kutumika tujenge tz mpya.
Namna gani vijana mnafulumia povu bila kumakinika na hoja?Mtoa mada kaandika kubenea ameahidi akiingia bungeni atawataja wahusika kwa kuwa atakuwa na kinga ya bunge na siyo sasa .
Napata shida sana kwa uandishi kama huu!Jaribu kupunguza mihemuko hata kama umegongwa na mada husika kuliko kuweweseka na kuandika vitu visivyoeleweka.
hili jukwaa limevamiwa na watu wavivu kufikiri kuna ,wakati unaweza kuperuzi humu kutwa nzima na ukashindwa kabisa kuchangia mawazo yako!nashindwa kama tatizo bado ni mfumo wa elimu au udumavu tu wa fikra.kilichobaki ni kunukuu vichwa vya magazeti na kupost utumbo kwa mitusi tuu badala ya hoja...
kuna watu hunishangaza sana kwa maoni yao humu jamvini,napata shida kuelewa kama watu hao wana uzalendo kweli au huchangia wakiwa na akili za kulalia!ni kuleta ubishi bila hata kupembua usahihi wa kinachojadiliwa!hivi watu kama wanazo family au hata mawazo ya kuwa wazazi wajao?kama jibu ni ndiyo...
Hoja ya mnyika iko kitaifa zaidi na yahitaji mtu mwenye uzalendo na ufahamu kuchangia!ushabiki huu wa kisiasa hauwezi kutufikisha popote ukizingatia haka kamfumo ndio kamewaganda hata wabunge wetu walio wengi!kama mfumo uliopo umefeli iweje tusiufumue?
Huu ni uambukizo wa siasa za kina nape,mwigulu.,'mtu anatapika',anaropoka halafu anaanza kufikiri!mwisho ni kujitetea kwa hoja nyepesi na chakavu kabisa!hebu tufikiri kisasa si kukaa kwenye vivuli vya watu walioshiwa uoni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.