Recent content by OLD KOROGWE

  1. OLD KOROGWE

    Nchi kubwa sasa kuongozwa na Wanawake.......maajabu!

    Wanaweza, acha wadhihirishe ubora wao kivitendo!!
  2. OLD KOROGWE

    Bajeti ya kuendelea kugharimia safari za Jakaya Kikwete imetoka wapi?

    Bado mambo flaniflani hayajakamilika may be miaka mitatu ijayo ndo ntakuwa huru na kutulia kijijini kulima nanasi.
  3. OLD KOROGWE

    Kwanini mabinti weupe wa Kisukuma ni dili?

    Mi nimeoa mwanamke white wa kisukuma ni mbabe balaa. Anajiona quin ila nampenda kwakuwa ni mpenda maendeleo hakunaga!
  4. OLD KOROGWE

    Uongo mwisho wake ni kukatwa tu, huyu sasa anaisoma namba

    Post za hivi sizipendi, hapa kazi tu, majungu peleka kwa mafisadi na wezi!
  5. OLD KOROGWE

    Unaruhusiwa kuwaka Bendera ya Taifa katika makazi?

    Kutokana na uchapaji kazi wa Magufuli mi nimeweka bendera ya taifa kwenye kichwa ninapo lalia naanza kuipenda nchi yangu
  6. OLD KOROGWE

    Mkoa wa Tanga umekamilika kuliko mikoa yote Tanzania

    Tanga raha, sikumoja nitarudi nyumbani Duga.
  7. OLD KOROGWE

    Kiazi Cha Ajabu Kimechimbwa,Tena Kiazi Kitamu

    Dunia inamambo hii, loh!
  8. OLD KOROGWE

    Kiazi Cha Ajabu Kimechimbwa,Tena Kiazi Kitamu

    Au kilipandwa makaburini?
  9. OLD KOROGWE

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    Viva Magufuli, Saluti kwako kiongozi wangu.
  10. OLD KOROGWE

    Nimegundua,nina mkosi

    Hivi wapi naweza kupata huduma ya kusafisha nyota?
Back
Top Bottom