Pole chief,ila kiukweli siku hizi majeshi yetu yameahuka hadhi,ukijaribu kuangalia kama vile wamesahau kabisa wajibu wao kwa RAIA ambao wanalipwa kwa kodi zao,its like wao ni watu wa tofauti sana na watu wengine,hawajali haki za watu,wanatumia nguvu zaidi kuliko akili,sujajua shida iko...
Mwanzo 4:10-11 Akasema umefanya nini?sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.Basi sasa umelaaniwa wewe katika ardhi iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako.
Siasa za dizaini hii hazina tija kwa taifa shindaneni kwa hoja zenye kuleta maendeleo kwa wananchi ambao mnalipwa kwa sababu ya kodi zao
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Ili ufanye vizuri unahitaji kukosolewa ila ukikataa kukosolewa una nafasi kubwa sana ya kutokufanikiwa japo kwa sasa mda utaongea kila kitu coz effect za kinachoendelea sasa Watanzania wengi tunaweza tusikione sasa hivi lakini baada ya muda tutakuja kukiona tu
Hisia,ushabiki,chuki ndio vinavyotumiwa na watanzania wengi kufanya maamuzi kwenye kupiga kura but kwa wale wenye kupima mambo kwa akili zao timamu hilo haliwezekani,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.