Ni vizuri NBAA wajikite kwenye kuelimisha Jamii umuhimu wa CPA, pili waanzishe vyuo vya hizo kozi, sio kutunga sheria kali tu, mbaya zaidi hao wakurugenzi wameanzisha magenge ya tuition ambapo wanatoa majibu badala ya taaluma endelevu.
mimi namwonea huruma yaani hakumbuki yule mbunge aliyevunjika mkono na baadaye akapoteza ubunge baada ya kumpiga mkwara Ziiii.. kwamba asimamishwe ubunge.
Hilo eneo lina sound proof ndio maana watu na walinzi waliyokuwa karibu hawakusikia milio ya risasi 30, chezea watu wasiojulikana. bila kusahau kauli kama ''kitu kinachosadikika na ncha kali, risasi, bomu na dhamani haijajulikana ....''
hizo pesa zili/zitatumika kununua silaha za kivita, mabomu ya machozi, maji ya washa washa na kuimarisha vyombo vya usalama maanake tunakoelekea utekaji, mauwaji, njaa, ukosefu ya matibabu, elimu, ukandamizaji wa uhuru wa watu vitasababisha raia waingie barabarani.............
Ndugu zangu wa upande wa pili tuwaache wafu wazikane wenyewe. Walionywa na Rais wa Sheria kuwa wakimaliza upinzani wataanza wao wakachekelea.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kiswahili ni lugha inayokuwa, basi kuanzia Leo Wale watu tuwaite Mh. WAPUMBAVU ........./ Mh. Naibu Mpumbavu ........
Post sent using JamiiForums mobile app
Huyu Joyce Temu ameingia choo cha kiume!!! Namwonea huruma Mange ambaye ameshindwa na jeshi la polisi, magereza, uhamiaji pamoja na interpol ya bongo. Au umiss haukumpa umarufu anautafutia kwa Mange.
wewe mubunifu unamiliki hata tuta la mchicha hapo ulikopanga? au unasubiri wabunifu wakulipe mshahara? kumbuka bank ni tasisi ina wataalamu wakila nyanja kwa hiyo wanapotangaza kushuka kwa faida wanamaanisha, sio wewe from no where, huna moral authority unakosoa taluma ya watu kwa kutumia kigezo...
wewe acha ndoto za mchana huyo mfugaji atakuwa anakula kwa mamako muda huo wa mwaka mzima, hao ngombe hawatibiwi? hawafi? Mchungaji ni baba yako? Maji Ya babu yako? watachunga kwa shamba la bibi yako? tuache hayo yote kumbuka hapo kuna
wakulima►wafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.