Recent content by okololo

  1. okololo

    Natafuta kazi ya Upishi

    Asante
  2. okololo

    Natafuta kazi ya Upishi

    Tunaweza wasiliana na nikawanakufundisha .
  3. okololo

    Natafuta kazi ya Upishi

    Ninaitwa Samwel Mayala Mimi ni chef mwenye uzoefu wa miaka 18 kwenye hotel. Ninapika vyakula aina mbalimbali ikiwemo Tanzania na nji za mataifa mbalimbali. Pia ninapika kwenye shughuli kama vile harusi, kipaimara na ubatizo pia ukiwa na shughuli nyumbani unaniita nyumbani nakuja kukupikia...
  4. okololo

    Natafuta kazi ya Upishi

    Yes napika
  5. okololo

    Natafuta kazi ya Upishi

    Acha dharau,kama umefanikiwa mshukuru Mungu, Swali lako ni kama kunikejeli.
  6. okololo

    Natafuta kazi ya Upishi

    Habari za jioni, Ninaitwa Samwel Mayala Mimi ni chef mwenye uzoefu wa miaka 18 kwenye hotel. Ninapika vyakula aina mbalimbali ikiwemo Tanzania na nji za mataifa mbalimbali. Pia ninapika kwenye shughuli kama vile harusi, kipaimara na ubatizo pia ukiwa na shughuli nyumbani unaniita nyumbani...
  7. okololo

    Natafuta kazi ya Upishi

    Yes Pia unaweza tumia hii 0744054228
  8. okololo

    Natafuta kazi ya Upishi

    Wanajamii ninaitwa Samweli Mayala. Mimi ni mpishi wa uzoefu wa miaka 18, natafuta kazi kwa yoyote atakayesikia anijulishe. Namba zangu ni 0657642225. Niko Dar es Salaam.
  9. okololo

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Wadau msaada plz. Hivi kwa mtaji wa shilingi laki 5 ninaweza kufanya biashara gani.
  10. okololo

    Mkopo wa Mama Janeth Magufuli

    Wadau habari za mchana, Naomba kuuliza, Kuna akaunti ipo kwenye ukurasa wa Facebook unahusina na mikopo hii ni kweli au matapeli tu wa Tz. Msaada wa maelezo kwa yoyote anayefahamu ukweli. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. okololo

    Ninauza vifaa vya chips

    Ninao wa kilo 15 Ninauza 40,000 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. okololo

    Ninauza vifaa vya chips

    Ninao wa kilo 15 Ninauza 40000 Sent using Jamii Forums mobile app
  13. okololo

    Ninauza vifaa vya chips

    Sasa wewe anahitaji nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. okololo

    Ninauza vifaa vya chips

    Yes inawezekana Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom