Nimekaaa siti ya mbele nisikie maneno Yake wakati watu wako bize na mambo ya Dunia hii Yesu atakua kama mwizi iyo ni muhimu kusikia sauti yake wakati huu wa hatari ambayo sauti za uongo na nadharia ikipotosha ukweli wa Mungu, ubarikiwe kwa habari hii njema ya Injili
Wanaomjua uyu mbunge naomba aniambie elimu yake make sio kawaida mtu mwenye akili timamu kujizima data hiv wapigakura unawaita kenge tena Bungeni afu spka anamuacha aendelee tu kuchangia!!!!! Huko tunakoperekwa sio kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.