Nimeona mmoja kasema ni ya zamani sana. Ila bado nasimama naye ujumbe wake ni mzuri. Mtaani wababe hutishia wenzao kuwadhuru na kuwa hawaogopi jela. Ujumbe ulikuwa ni waoAshaliwa kichwa fatilia
Ndo hivyo Kijana alipoteza Kazi na kurudi mtaani inahitaji akili Sana kuwaza mbeleNimeona mmoja kasema ni ya zamani sana. Ila bado nasimama naye ujumbe wake ni mzuri. Mtaani wababe hutishia wenzao kuwadhuru na kuwa hawaogopi jela. Ujumbe ulikuwa ni wao
Au wewe ndio aina ya watu poti alikuwa anawakanya? Naona umeichukulia personal hutaki kuona upande mzuri wa ujumbe wakeHiyo ndo Kazi walimtuma ?
Sio kazi yake kutukumbusha hilo,jeshi lina msemajiPoti anafanya kazi nzuri kukanya na kuogopesha watu wanaosema hawaogopi jela. Iogope jela kwa kuepuka mambo ya uvunjifu wa sheria wa makusudi. Jela sio picnic au matembezi ya bustanini. Ni sehemu ya kuogopesha. Sio sehemu ya kujitakia kuwa huko.
Kama alikuwa sahihi kwanini walimla kichwa ?Au wewe ndio aina ya watu poti alikuwa anawakanya? Naona umeichukulia personal hutaki kuona upande mzuri wa ujumbe wake
Yeye amejionea hayo kwa sababu yuko jela hivyo ni mfungwa. Nani asiyefahamu maisja ya jela sio mazuri kuanzia kula, kulala na kukosa uhuru?Mbona kasema yeye mwenyewe anapaogopa jela ingawa ni askari. Chukua ujumbe chanya. Anakanya watu wanaojifanya wababe ati hawaogopi jela. Kuna familia hazina amani wanafanyiwa unyanyasi na wenye nguvu na kuwatishia kashtaki popote mie jela siogopi. Ujumbe wao ndio huu toka kwa poti kwamba jaribu sasa uingie huko ukajionee show
TanPol, Magereza wote wapo hao unaowazungumzia.Huyu ni Askari Magereza ?, Kama jibu ni ndio basi huko Magereza kuna Watu wapumbavu sana
View attachment 3281108
Huyu si Millard Ayo?Huyu ni Askari Magereza ?, Kama jibu ni ndio basi huko Magereza kuna Watu wapumbavu sana
View attachment 3281108
“Saa nyingine wafungwa wafanyishwe kazi ngumu kama za kulima, tena wakitegea wapigwe mateke” - John Pombe Magufuli “Jiwe”
Sasa afande kama huyu sipati picha aliitumiaje kauli hiyo ya jiwe kwa wafungwa
Bongo bahati mbaya