Recent content by okech

  1. O

    Mwalimu wa nursery

    Asante sana sasa naomba namba yake mimi niwasiliane naye sasa hivi maana ukiwapa namba wapo watu wanaofanya mzaa ndugu yangu wakati ni swala la muhimu kwangu. asante
  2. O

    Mwalimu wa nursery

    Wapendwa wana jf natafuta mwalimu wa nursery na darasa la nne ambaye anakaa maeneo yombo vituka ili aweze kuwafundisha wanangu 2 muda ni kuanzi jioni (yasizidi masaa mawili ila pungufu inawekana) malipo ni 100,000/= kwa mwezi. Kwa mawasiliano tumia box 70291 dar es salaam. Asanteni
  3. O

    Mwalimu wa nursery

    Wapendwa wana jf natafuta mwalimu wa nursery na darasa la nne ambaye anakaa maeneo yombo vituka ili aweze kuwafundisha wanangu 2 muda ni kuanzi jioni (yasizidi masaa mawili ila pungufu inawekana) malipo ni 100,000/= kwa mwezi. Kwa mawasiliano tumia box 70291 dar es salaam. Asanteni
  4. O

    Msaada mwalimu wa nursery

    Wana JF natafuta mwalimu wa nursery ambaye anaomuda wakati wa jioni (saa 10 jioni) ili aweze kumfundisha mwanangu (4 year). Ningepende mwalimu ambaye anakaa maeneo ya yombo vituka maana ni maeneo mimi ambayo nakaa. Malipo ni maelewano tutakapo wasaliana. Asanteni sana.
  5. O

    Natafuta kazi ya nursery school

    Mimi nakaa yombo vituka ila mtaani kwetu tunatatizo la shule za na Nursery kama huko serious nipe mawasiliano ili tuongee zaidi. Mimi mwenyewe nashida sana ya walimu wa nursery. Asante
  6. O

    Wana JF naomba msaada au ushauri

    Mimi niko Dsm naomba kama ukinisaidia namba yake ya simu au nipe direction ni sehemu gani ndugu yangu
  7. O

    Wana JF naomba msaada au ushauri

    Naomba kama kuna mtu anajua fundi wa microwave ya digital naomba anisaisidie maana nimeangaika sana kila fundi anasema ni ngumu kumpata fundi microwave za digital. Asanteni.
  8. O

    Salamu kwa PENGO, MALASUSA na mufti mkuu!!

    nafikiri viongozi wetu wa kiroho wamejifunza kitu hapo.
Back
Top Bottom