Recent content by Ohotaite Kintu

  1. O

    Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

    Soko sijapata. Hii leo watu wananunua box kwa shs 2,000/= huko shamba. Nililenga soko la Dar lakini nyanya imafurika kiasi imefika 10,000/= kwa box ambayo hailipi. Nina wateja (madalali) watatu Mabibo, Stereo na Ilala. Tatizo ni bei, nasikia kuna watu wengi wamelima mwaka huu. Kwa kweli...
  2. O

    Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

    Wanajamvi naomba kuwakilisha ombi langu. Mimi nimelima nyanya maeneo ya Dumila. Naomba mwanajamvi mwenyefununu juu ya soko anijuze. Napatikana kwa namba 0767310750.
  3. O

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Nafasi aliyopata Mbatia inaweza ikamwangamiza. Wananchi wa Kawe wanataka kumsikia mtu anayeweza kuisimamia Serikali. Kwa nafasi hii James atashindwa maana ubunge wenyewe ni zawadi. Ni lazima awe na adabu kama alivyo Jussa. Mimi naona Mbatia hatasaidika badala yake ataonekana hawezi.
  4. O

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Uteuzi wa Mbatia kuwa mbunge ni sawa kama alivyoteuliwa Jussa. Kikatiba ni sahihii. Waziri wala unaibu hata uDC hawezi kupata.
  5. O

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Naomba uende hapa Senior Fellow: Janet Mbene utaipata
  6. O

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Msipate tabu i hizi hapa From Wikipedia, the free encyclopedia Prof. Muhongo Born in Musoma, township, Sospeter Muhongo is a Tanzanian Professor of Geology.[1] from the University of Dar es Sala He is the...
  7. O

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Sijui JK kadhoofisha nini maana hiyo NCCR ilishadhoofika. Sijasikia imefanya la maana zaidi ya kumfukuza Kafulila.
  8. O

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Hapo utumbo ni upi ? Tujibu/tukanushe hoja kwa hoja.
  9. O

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Huyo Professor si mpaka aapishwe kuwa mbunge ? Na bunge halikutani mpaka Bunge la Bajeti, lakini Rais anaweza kuita Bunge la dharura. Kuna tetesi kuwa mtoto wa mkulima anataka kupumzika; vipi mmezisikia hizi ?
  10. O

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Hawachukui nafasi ya mtu ila ni katika nafasi 10 za rais kuteua wabunge.
  11. O

    Wapi lilipo baraza la maaskofu?

    Sina uhakika na kituo cha kushukia lakini panda bus lolote linalopitia Shimo la Udongo (Bus hilo linaweza kuwa la Temeke, Tandika, Mbagala au Mtoni). Utamuuliza Konda atakuonyesha kituo lakini ni baada ya kupita ofisi za UDA. Mabus unapandia Posta Mpya au Kariakoo.
  12. O

    Hi Members.

    Mpo? My name is Philemon Muganyizi. Am a new member of this forum. Tuko pamoja.
  13. O

    Mafisadi wahaha kuwachafua wenzao

    Naungana na wale walio na mashaka na ujumbe huu. Aliyeutoa naomba atusaidie kusema unatoka namba ipi ili tumwulize Professor Nkoma ni hatua ipi ataichukua kwa SMS za kipumbavu (kama ipo kweli) kama hizi.
Back
Top Bottom