Ndugu zangu watanzania poleni na majukumu na maumivu yaliyotawala miyoyoni mwenu takribani miaka 62 tangu nchi hii kupata uhuru.
Ndugu zangu msingi imara ndiyo huweka uimara wa nyumba inayojenda ukiboronga katika msingi nyumba hata uimarishe vipi nyufa za msingi lazima zionyeshe udhaifu wa...
Katiba ni nini? Tunaweza kusema Katiba ni dira ya taifa au mwongozo mama wa taratifu na miongozo itumikayo kuliongoza taifa.
Kuna mambo muhimu sana mengi ambayo ni ya msingi katika mustakabali mzima wa taifa katika Katiba.
Uhuru, mwanachi anapaswa kuwa na uhuru wa kukosoa serekali pasipo...
Kuna haja kubwa ya kutaka kufanya uchunguzi ili kubaini katika elimu ya vijana wanayo pata hapa nchini inawasaidia kitu gani?
Kwakuwa swala la katiba ni swala ambalo vijana kama vijana wangekuwa na ari kubwa kulipigania ili kukomboa nchi na kujenga katiba isiyo na ubagudhi kwa mustakabali wa...
Natumaini uamuzi mwema wa kuweka kiongozi anaye weza kuongoza taifa ni tuwe na katiba imara ambayo hata ukimweka mtoto mdogo nchi isitegemee kuendeshwa na mtu iendeshe kwa misingi ya sheria na kwakuwa rais ni taasisi na taasisi imara ni katiba
Kitu ninacho washangaa wana ccm nchi ni yetu sote
Mbowe na chadema hatupiganii nchi ya chadema tunapigania Katiba ambayo ni ya Taifa la Jamhuri ya muungano wa Tanzania (URT).
Tungekuwa na katiba isiyo na viraka viraka sina maana nimedharau katiba yetu lahasha nina maana hii tuliyo nayo...
Kwa mtu ambaye anajua kufikiria na kuunganisha matukio anaweza akawa ana hoja za mashiko
Kwanza tukio la malim seif na Magufuli halifanani kabisa na tukio lililotokea jana au tukio la wiki mbili zilizopita kati ya tundu lisu,mbowe na Samia.
Haya ni matukio mawili tofauti na tunapaswa kujua...
Ukisoma kwa makini utaelewa nilikuwa na maanisha wasio ona mbele kama aonavyo freeman na chama chetu ungekuta imeshakufa na ndiyo ilikuwa maana halisi pengine sikueleweka kimaandishi
Siasa sio matusi nimesema watu wasio na mtizamo wambele
Maana yake freeman anamtizamo wa mbele na ndiyo maana mpaka sasa chadema kinadumu umesoma vibaya neno halina maana bali mwenye maana ni mwenye kutoa neno
Chadema ipo miyoyoni mwa watu na ndiyo maana hata kipindi kilichopita watu wasio tazama mbele kama Mbowe walijua imekufa
Sasa ndiyo imepata Nguvu kubwa kuliko chadema ilivyoanza nichama cha watu wenye uelewa nikimaanisha uongozi na ni watu ambao wanaijua kesho kuliko leo na hakika chadema ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.