Recent content by odwinsenkono

  1. O

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Jamani naombeni mnijuze, kinachoendelea bungeni
  2. O

    Samahani Mheshimiwa rais, tunataka kuangalia Bunge.

    Haa haa haaa! Nimecheka sana,
  3. O

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    Daaaaa hapo kindoondooni wamekata umeme
  4. O

    Yaliyojiri Mdahalo wa Katiba: Jumanne, Tarehe 25 Novemba, 2014

    Jamani jitaidini tufuatilie huu mdaharo ni muhimu kwetu wapenda mageuzi
  5. O

    Jose Chameleone: Siko katika Levo ya Kuomba Collabo na Diamond Platnumz

    Haa haa haa mkuu sijui muziki gani, R. Kelly afanye collabo na na madee!!
  6. O

    Jose Chameleone: Siko katika Levo ya Kuomba Collabo na Diamond Platnumz

    Kesho tutasikia kanye west aomba collabo diamond
  7. O

    Wanaume wa Kizungu hawapendi wanawake ambao hawana shape

    Ni kweli tumeumbwa kwa mfano Wa mungu, Pia mungu alijua wakina Adamu wengine watapenda hizo Pasi sijui hizo mnaziita flatscreen, wengine wanasema vimbau mbau, tena mm nikizioona hizo flatscreen ndio nazipenda hata usingizi sipati
  8. O

    Hivi ni kwanini baadhi ya makanisa wahubiri kila siku ni walewale?

    Hapa sasa mtahoji mbona mungu ni yule yule anaeabudiwa, kwanini asiwepo mwingine!
  9. O

    Mchungaji Gwajima amejibu tuhuma za mume wa Flora Mbasha?

    Siku ile inakuja upesi, kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kilichofichwa kitafichuliwa, wote tutasimama mbele za MUNGU atakapo hukumu watu wote, kila mtu atatoa hesabu zake mwenyewe siku ile ya mwisho.
Back
Top Bottom