Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Timing ya huu mdahalo ni mbaya wakuu
Kwanini mkuu? au mambo ya IPTL/ESCROW NA KUJIANDIKISHA KWAAJILI YA CHAGUZI ZA SERIKALI ZA MITAA...
Timing ya huu mdahalo ni mbaya wakuu
Mkuu tunahamia kwenye radio one. Betri mpyaaa nimenunua.
huku kakola,bugarama nk baada ya kukaribishwa warioba wamekata umeme.
Mh!,bodyguard WA Warioba Ni Kibabu au ndo kusema ujuzi hauzeeki.
Itakua mwalimu wa kung-fu.Mh!,bodyguard WA Warioba Ni Kibabu au ndo kusema ujuzi hauzeeki.
Arusha wameondoka na umeme tangu asubuhi
tumia sim yako wewee fungulia radio one wako liveTiming ya huu mdahalo ni mbaya wakuu
Naam naona vyombo vya kisasa kabisa na waandishi mahili wa habari toka ITV na redio one wako hapa ili kufikisha nondo za Mzee wetu mpendwa jaji wa ukweli.
Katiba ndo yenye uwezo wa kuziba mifuko ya Taifa letu iliyotoboka,mfano escrow,Richmond,EPA nk.Katiba ikiwa mbovu escrow,EPA,na madudu mengine yataendelea kutokea sana.tukipata katiba bora itatupa nguvu ya kuwashughulikia Hawa wezi wetu.escow kujadiriwa bungeni kwangu mm sioni Wala sitarajii jipya.Richmond ili jadiliwa,kipi kimetokea?mjadala ule mbona haujazuia escow?Watu hamjiulizi kwanini mdahalo uwe leo,siku moja kabla ya kusomwa report ya escrow?,tena kwanini hata taarifa ya mjadala imekuja kwa mda mfupi sana...
anyway mdahalo umetulia sana.
radio one kwa morogoro ninatune namba ngapi tafadhali,,,yaani mitabendi ngapi
Mbona Kama Warioba Anaisifia Katiba Pendekezwe
Katiba ndo yenye uwezo wa kuziba mifuko ya Taifa letu iliyotoboka,mfano escrow,Richmond,EPA nk.Katiba ikiwa mbovu escrow,EPA,na madudu mengine yataendelea kutokea sana.tukipata katiba bora itatupa nguvu ya kuwashughulikia Hawa wezi wetu.escow kujadiriwa bungeni kwangu mm sioni Wala sitarajii jipya.Richmond ili jadiliwa,kipi kimetokea?mjadala ule mbona haujazuia escow?
...... Mbona Kama Warioba Anaisifia Katiba Pendekezwe