Mambo 10 usiyo yajua Kuhusu
Pul Kagame na serikali yake Rwanda.
1.Kila Mwanafunzi anay e fika kidato cha kwanza anapewa Laptop.
2.Barabara zote hupigwa deki kila mwisho wa week na wanajeshi.
3.Msafara wa Rais hauzidi Magari ma Tatu.
4.Ukigundulika umetoa au umepokea rushwa unatiwa ndani...
Wanaotoa matangazo hayo ni matapeli tu maana toka waanze kuyatoa now ni miaka mitatu sasa. wapo magomeni mapipa nyuma ya bank ya DTB(Diamond Trust Bank)
Hawa jamaa kila mara wanatengeneza matangazo mapya na wana muda mrefu sana toka waanze mchezo huo. Na kila tangazo wanaweka mishahara tofauti. Pia huwez kusoma form yao mpaka utoe hiyo 2000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.