hivi wadau ikiwatangu kubaleh Hadi umri wa miaka 27 hujagonga Dem na bado unawaogopa + aibu hapo inakuwa ni kawaida au nimelogwa? mana natamani niende kwa mganga sasa
magu alijalibu kuijenga tz kidogo tuu watu wakaanza kumlaani Hadi Sasa wanamlaani
iliuendelee huhitaji kubembeleza watu fata lengo lako kama magu lakini Sasa nimwendo wa kubembelezana hatuta fika popote kwa mwendo huu.
R.I.P magu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.