Daaah huu uzi ni mkali balaa...You went to say all of the shit.....Sisi hasa wanaume huwa unakuta kuna mtoto wa mama mkwe anakuelewa kinoma na yuko tayari kufanya lolote kwa ajili ya penzi lenu...ila sisi tunawaonaga kama hawatoshi....unaamua ku deal na machura ya mtaani....akishasepa ndo...
Wakuu Jackpot ya Sportspesa imepaa mpaka mili 700. Hivi hakuna wa kuichambua hii...Ukiipata umemaliza kazi na kanji [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X608 using JamiiForums mobile app
Mkuu kule sio pa mchezo bora huku kwa kawaida.... Kule unacheza na Kompyuta ambayo ana icontrol Kanji huyo huyo. Kwa hyo kumla kupitia virtual ni ngumu sanaaa
Sent from my Infinix X608 using JamiiForums mobile app
Daaah hili andiko ni kubwa sana. Lina nondo tupu za kufanya namna ya kubadili mtazamo mzima wa kubadilika kutoka kutegemea kuajiriwa mpaka kutengeneza nafasi za kuajiri watu. Natamani kupiga kura ila namna ya kupiga ya kupiga ndiyo sifahamu... Kama unaweza nielekeze nifanye hivyo.
Sent from my...
May be umem "quote" vibaya jamaa lakini huyu jamaa amejaribu kuonesha uhalisia uliopo mtaani juu ya wasomi hasa wanaomaliza vyuo vikuu na kurudi mtaani..... Sijaona kama ametaja sehemu kwamba elimu sio muhimu... Bali ameonesha umuhimu wa kujiandaa na maisha ya mtaani mara baada ya kuhitimu...
Join fantasy Premier League tuone ubabe wako katika kupanga kikosi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
https://fantasy.premierleague.com/leagues/auto-join/cr2vq7
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.