Chanika kuna uvamizi mkubwa wa viwanja kwa sasa.Kuweni makini sana katika ununuzi kwani unaweza kuishia jela baada ya kununua kutoka kwa wavamizi pindi mwenye kiwanja atapokuja kukamata wavamizi na wewe ukidhaniwa ni mmoja ya wavamizi.
Bado Bw. Kipande kwenye hii ya DailyNews Mobile Edition - Stakeholders contest Dar port tender ruling - http://m.dailynews.co.tz/index.php/biz/33537-stakeholders-contest-dar-port-tender-ruling/
Kitu ambacho nashindwa kuelewa ni kwamba,Rais leo alikuwa anafungua Bunge la Katiba au alikuwa anamjibu Warioba?,kwanini ame-preempt sides tofauti za Wabunge akiwa kama Rais?,kama anafika hadi kulazimisha serikali mbili,sasa kulikuwa na haja gani ya kuunda Tume yenye nia 'geresha' ya kusikiliza...
Tatizo la watu hapa hawaujui ukweli Tina anaouandika,ila wanajua siasa za magazetini za Mwakyembe zinazoendelea.Mtu kama Magesa anapewaje Idara na akili fupi aliyonayo?.Sasa hata kwenye basketball association wamemuona hafai,wamempiga chini kwenye uchaguzi wiki iliyopita hata baada ya kuhonga...
Imeshasemwa sana hapa kuwa hii team ya Mwakyembe,Kipande na Magesa (NEC-Member,ambaye anataka kugombea Ubunge wa Kigamboni hapo 2015) ni sumu kali kwa uhai na maendeleo ya TPA na Taifa letu kwa ujumla wake.Alafu walivyo wajanja katika kuwahadaa wananchi,leo wameonyesha mafanikio hewa ya TPA...
Bado najiuliza kwanini Rais na Serikali yake haichukui hatua kuhusu uovu na uvunjwaji wa sheria ulio waazi kabisa uliofanywa na unaoendelea kufanywa na Mwakyembe,Kipande na Magesa.Mashahidi wapo wengi tu kuanzia Board zilizovunjwa,wafanyakazi wa TPA wa zamani na sasa,wadau wa TPA kama...
Mimi nadhani Rais inabidi aingilie kati swala hili la TPA,kwa sababu hadi leo hii Mwakyembe na Kipande hawajatoa na kufanya mpango mkakati wowote unaoleta tija pale TPA ili kuboresha mapato na huduma badala yake wanafanya vitu rahisi kwa kuwahadaa wananchi na kuvunja sheria tu.Baadhi ya...
Tina,tafadhali sana endelea kutupa taarifa kwani pale TPA kwa wanaopajua kumezidi kuharibika tu.Board waendelee kukomaa hadi wamtoe Kipande ili kweli ufanisi wa Bandari uliokusudiwa uje,faida ionekane kweli si siasa ya magazetini,wateja kama Maesk warudishe shehena hapo Port of DSM,mahusiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.