Recent content by obhwita bhwandebha

  1. obhwita bhwandebha

    Ondoa Mikosi Maishani Mwako kwa Chumvi

    Naomba kujua maji yanakuwa kiasi gani na chumvi unaweka kiasi gani
  2. obhwita bhwandebha

    Wakati Simba wanatembeza Kombe la Ubingwa VPL, Sisi Yanga tunamtembeza Mzee Mpili kwa kutupatia ushindi dhidi ya Simba

    Malengo ya timu kubwa ni kuchukua ubingwa na malengo ya timu ndogo ni kuifunga timu kubwa. Kila mtu katimiza malengo yake kazi iendelee
  3. obhwita bhwandebha

    Mtifuano kati ya Jenerali Ulimwengu na Mary Chipungahelo a.k.a Mama Chips

    Nikweli huyo mama alikuwa mtata sana ila alikomeshwa alipokuwa DC wa bunda akilala usk ndani asbh akiamka anajikuta yuko nje .Ndo kisa cha kumhamisha na kum promote kwenda kuwa Rc Dar
  4. obhwita bhwandebha

    Umeme wa kutumia sumaku

    Fanya juhudi umsake mkuu kama uko Dar.
  5. obhwita bhwandebha

    Umeme wa kutumia sumaku

    Kama uko Dar fanya mpango umtaute mkuu
  6. obhwita bhwandebha

    Umeme wa kutumia sumaku

    Wapendwa kuna mtu mmoja nilimuona kwenye YouTube ni fundi wa kutengeneza umeme wa majumbani kwa kutumia sumaku anaitwa Msuya yuko Dar maeneo ya kawe kulingana na alivyojitambulisha. Naomba mwenye namba yake ya simu tafadhali anitumie au walioko karibu nae naomba wanisaidie kumtafuta wamuombe...
  7. obhwita bhwandebha

    Kwanini CCM ndio wanalia CHADEMA wapeleke Wabunge wa Viti Maalum na si CHADEMA wenyewe?

    Chama kinachopata kura nyingi za ubunge ndo kinapewa viti vingi maalumu kikifatiwa na kilichofuata. Hivyo chadema ndo kina sifa hiyo kwani kura walizopata wabunge wao ni nyingi kuliko za wale wa vyama vingine vya mageuzi
  8. obhwita bhwandebha

    GE2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

    Hukuona kampeni yake jana huko pwani na leo kariakoo? Au kwako kampeni ni ipi?
  9. obhwita bhwandebha

    GE2020 Wana-CHADEMA mnapoenda kumpitisha mgombea Urais, tuleteeni mgombea ambaye ni Chaguo la Wananchi

    Ndugu wanamabadiliko wenzangu mlioko ndani ya vikao vya maamuzi CHADEMA chonde chonde mnapoenda kwenye kwenye kura za kuteua mgombea wa urais tafadhalini kazi moja tu mlionayo fitina na figisu zenu ziwekeni pembeni tuleteeni mgombea ambae ni chaguo la wananchi na siyo chaguo lenu binafisi...
  10. obhwita bhwandebha

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Huo mnaosema mchele wa Thailand ndio huo tuliokuwa tukiita Buluga? Wahenga nifahamisheni ili nami nichangie mada
  11. obhwita bhwandebha

    Muswada wa Marekebisho Sheria-2020: Unajua watu hawataweza kudai haki kwa niaba ya Wanyonge? Viongozi wa juu Serikalini hawatashtakiwa moja kwa moja!

    Hiyo ni moja ya dalili kuwa watawala hawataki kutoka madarakani na wanapanga kufanya maovu zaidi na hasa wakati huu wa uchaguzi mkuu. Wajuzi wa mambo tupenì mwongozo tufanye nini ili tudai katiba mpya kabla ya uchaguzi wa October? Je tunaweza kusaini fomu maalum na kwamba tukifika idadi kadhaa...
  12. obhwita bhwandebha

    CHADEMA imekosa Katibu Mkuu Makini

    Nikweli dr slaa alikuwa anatosha kwenye hiyo nafasi aliifanya cdm ikaaminika na kupendwa na wengi ndani na nje ya ccm. Ila wakati wa huo siasa utawala/siasa vilikuwa fair kulinganisha na wakati wa kuanzia 2016-now no way unaweza kuwalaum sana waliofuatia baada ya dr slaa kutokana na mazingira...
  13. obhwita bhwandebha

    GE2020 Lissu na Urais 2020: Fursa na Changamoto

    Uchambuzi wako uko vizuri kwakuwa na yeye lisu anapita humu atachukua anayopaswa kuyafanyia kazi ila lisu ndiye mwanasiasa pekee anayefaa kuwa rais kwa kipindi hiki ili arekebishe mifumo ya sheria na utawala
  14. obhwita bhwandebha

    GE2020 Lissu na Urais 2020: Fursa na Changamoto

    Lisu ni mpango wa mungu mnaompinga mnachosha akili zenu tu. Lisu ni mteule kutoka kwa mungu siyo chadema hivyo kaeni mtulize mishono yenu hamuwezi kushindana na mungu. Namuelewa sana lisu na ndiye rais wa tanzania lisu siyo kiwango kidogo kamuulize kikwete analijua hilo
  15. obhwita bhwandebha

    GE2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

    Alimdhihakije? Alimkejelije? Ungeeleza hayo ili nasisi ambao hatukuwepo tujue halafu tupime na kuchuja. Vinginevyo hizo ni ndoto kama ndoto zingine. Lisu hana hizo sifa unazotaka kutuaminisha Lisu ndiye mkombozi wa kweli katika hii nchi na ndo maana mungu hakuruhusu afe licha ya risasi zote zile.
Back
Top Bottom