Recent content by Obel

  1. O

    JamiiForums Tanzania USHAURI: House girl wangu anatoa harufu ya Jasho

    Ahahaha ni kweli kuna jamii kuoga ni mtihani! Asante sana kwa ushauri! Juzi nilimunulia deodorant kiukweli harufu imepungua kwa kiasi kikubwa! Nitamuhimiza kutumia ndimu au limao kujisugulia makwapani
  2. O

    JamiiForums Tanzania USHAURI: House girl wangu anatoa harufu ya Jasho

    Mimi ni ke 😬
  3. O

    JamiiForums Tanzania USHAURI: House girl wangu anatoa harufu ya Jasho

    Ni kazuri MashaaAllah
  4. O

    JamiiForums Tanzania USHAURI: House girl wangu anatoa harufu ya Jasho

    Inawezekana kabisa kaka maana hata alivyokuja nilimuona km mtu aliedhoofu japo sijawahi kumuona kabla na nikamuuliza unaumwa akasema hapana! Maana ni mgeni ana miezi mwili Tu. Na juzi kuna Jirani yangu ameniambia "huyu msichana wako mbona km anaumwa hivi km ametoa Mimba! Nikamwambia hata mm...
  5. O

    JamiiForums Tanzania USHAURI: House girl wangu anatoa harufu ya Jasho

    Ok thanks! Japo nishamnunulia ila sijajua km ndio hii ama laa
  6. O

    JamiiForums Tanzania USHAURI: House girl wangu anatoa harufu ya Jasho

    Asantee..nitamnunulia leo
  7. O

    JamiiForums Tanzania USHAURI: House girl wangu anatoa harufu ya Jasho

    Ok asante! Nitanunua mbili namwambia hii yako na hii yangu
  8. O

    JamiiForums Tanzania USHAURI: House girl wangu anatoa harufu ya Jasho

    Hello dears! Nmepata msaidizi wa nyumbani, kiukweli nampenda na anajitahidi na kazi zake sifikirii kumuondoa kwani pia huwa napata wadada wazuri tunaishi mda mrefu. Huyu anashida ya harufu ya jasho lake ni kali sana. Akipita sehemu anaacha harufu. Najitahidi kuhimiza kuoga angalau mara mbili...
  9. O

    JamiiForums Tanzania Ulikuwa unadhani utakuwa umeshanunua vitu gani na kukamilisha nini maishani ukiwa na miaka 30 lakini mpaka sasa hola?

    Nyumba jamani! Hadi Leo sijaanza hata mingi 🥺
  10. O

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania hatuna furaha? Nini kifanyike?

    Mwezi mzima maji hayajatoka! Hiyo furaha niitoe wapi nikianza kufikiria napataje maji
  11. O

    JamiiForums Tanzania Mama yake Mzazi anasema kabisa "Bora angekufa huyu kuliko yule wa Ulaya aliyekuwa ananitunza"

    Mama zetu wa mikopo ya kausha damu hao
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Mwanamke ana wajibu wa kuchangia kifedha ndani ya Ndoa?

    Sio wajibu wake ni huruma zake!
  13. O

    JamiiForums Tanzania 85,000 tu unapata Fremu ya biashara Kariakoo

    Labda meza
  14. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nasumbuliwa na tatizo la Asidi Tumboni

    🤩
Back
Top Bottom