Ahahaha ni kweli kuna jamii kuoga ni mtihani! Asante sana kwa ushauri! Juzi nilimunulia deodorant kiukweli harufu imepungua kwa kiasi kikubwa! Nitamuhimiza kutumia ndimu au limao kujisugulia makwapani
Inawezekana kabisa kaka maana hata alivyokuja nilimuona km mtu aliedhoofu japo sijawahi kumuona kabla na nikamuuliza unaumwa akasema hapana! Maana ni mgeni ana miezi mwili Tu.
Na juzi kuna Jirani yangu ameniambia "huyu msichana wako mbona km anaumwa hivi km ametoa Mimba! Nikamwambia hata mm...
Hello dears!
Nmepata msaidizi wa nyumbani, kiukweli nampenda na anajitahidi na kazi zake sifikirii kumuondoa kwani pia huwa napata wadada wazuri tunaishi mda mrefu.
Huyu anashida ya harufu ya jasho lake ni kali sana. Akipita sehemu anaacha harufu. Najitahidi kuhimiza kuoga angalau mara mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.