Dah kazi kwelikweli mbona Ole
Sendeka alikuwa anamtetea W/mkuu!! Dah pengine hiyo ni ESCROW unayoijua ww iliyojulikana kwa Watanzania ilishamalizwa na bunge Tar 29/11/2014 saivi tunasubiri utekelezwaji tu!!
Jana mzee Warioba akijibu swali kutoka kwa kijaana alijitambulisha kwa chama cha ccm alisema kuna ccm imani na ccm maslahi, mambo ni imbalance kabisa ccm imani ni ¹/4 na ccm maslahi ni ³/4 hii ni hatari sana.
Mwana art akitoa mimba si atakuwa mwanasayansi? Au anawezaje kutoa mimba bila uwepo wa mwanasayansi? Lakini me naona tumekuwa tofauti binafsi nimeona wanasayansi wakiongoza kwa tabia mbaya mpaka za utumizi wa madawa ya kul....e...v..y@ niaje science mnayosoma haiwasadii? lakini wewe tofauti pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.