Watoto walioingia kidato cha tano mwaka huu walifanya hivyo bila ada elekezi hivyo kulipa ada bila mpango unaoeleweka kinyume na ahadi ya waziri. Sasa januari ijayo watoto wanatakiwa kuanza kidato cha kwanza kukiwa bado kimya juu ya Ada elekezi. Kuna mwenye kulijua hili? Waziri naona yuko busy...
Wakilazimisha kupitisha matakwa yao kwenye bunge la katiba kwa kutumia wingi wao na sisi tuje tutumie wingi wetu kukataa waliyoyapitisha na hatimaye tuje kuwakataa 2015 kwa kutumia huo huo wingi wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.