NCHI IPO KWENYE HARAKATI ZA KUPAMBANA NA CORONA WAO WAPO BUSY NA KUFUTA WABUNGE UANACHANA HAWA HAWANA UCHUNGU NA HILI TAIFA TUWAPUUZE WAMETUMWA NA MABEBERU
katika vita ya kuendelea kupambana na corona kuna mashine tunazitengeneza (disinfectant walk through ) kama inavyooneka hapo chini kwenye picha na video .tushirikiane kupambana na janga hili kwa wanao hitaji tuwasiliane ni milioni mbili na laki tano tu.tupo MBEYA karibu na IYUNGA tunafika ulipo...
Mwanamke na uzuri wote huo kwa mganga alafu ukiwakuta makanisani ni mwenyekiti wa kinamama na wakati wa maombi anaomba utasema roho wa bwana sasa ameshuka hata kama ulikuwa mgumu wa kutubu unaanza kutubu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.