Recent content by obakunta

  1. O

    Urusi yapokea msaada wa silaha kutoka kwa waasi wa Iraq, kwa kupitia Iran - hali mbaya

    Taifa ndogo limemshinda kupiga ndio iwe apigane na mataifa 30. Amesaidiwa msaada wa silaha kutoka China, Iran n.k. lakini bado wapi.
  2. O

    Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!

    Kufikia 2025 Tanzania itakua imepiga hatua za mbali sana chini ya uonngozi imara wa Dr. John Pombe Magufuli, mnaompinga vyema mkavuka na kuwa upande sahihi wa historia, la sivyo mtayaona yote yakitendeka na kujutia kwa kutohusika kwenye kumchagua.
  3. O

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Mabeberu hawaitakii Afrika mema, kila akiibuka kiongozi mzuri mwenye nia njema wanamtafutia kesi, nia yao ni tuendelee na huu umaskini ndio waendelee kutunyonya raslimali.
  4. O

    Corona na uwezo wa Rais Magufuli, kweli Mungu katushushia kiongozi

    Iko siku dunia itamuelewa Magufuli.
  5. O

    Tanzania yashushwa rating ya uchumi wa kati, yadaiwa uchumi wake sio halisi na ukwasi wake hautabiriki hasa katika kupata mikopo ya nje

    Mbona mnatafsiri taarifa visivyo, hivi hii ndio namna ya kuuza sera? Haijasema Tanzania imeshuka kutoka uchumi wa kati, ila ni mambo ya ratings za mikopo, mbona mnapotosha, halafu idadi kubwa ya watu humu hawatasoma contents. Mzee Magufuli chapa kazi, watu watakuelewa soon.
  6. O

    Uzi maalumu: Matukio yaliyochukiza kwenye Awamu ya Tano

    Watu kuponda kila nzuri linalofanywa na rais, hivi binadamu mumeumbwa vipi kwa kweli maana ningekua rais wa nchi mngekoma sana watu, urais ni shughuli, unakesha ukiwaza jinsi gani ya kuboresha maisha ya watu, halafu kuna mijtu kila siku inakesha ikiwaza kuponda kila kitu hamna hata kimoja...
  7. O

    Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

    Afrika tunapigwa vita sana, na bila kuwa na majemedari kama Magufuli yaani marais wanaojitambua, tutaisha sote.
  8. O

    Good job SGR

    Hngera sana JPM, kazi safi sana hii, ama kwa kweli Afrika tumepata jembe.
  9. O

    CCM Vs CHADEMA

    Hamna haja ya hizi siasa kipindi hiki, muhimu tumuunge mikono Rais Magufuli aendelee kufanikisha na kutimiza ahadi zake.
  10. O

    Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!

    Afrika yote leo hii kila nchi wanatamani wawe na rais kama huyu, amesimama na wanyonge hadi hata kwenye vita vya kirusi, hamna cha lockdown.
  11. O

    Dalili za Utawala unaoelekea 'kaburini'

    Shukrani sana, watu wamejitoa ufahamu hawataki kusikia wala kuona, kila wakiamka alfajiri wanawahi kwenye mitandao kuponda, kukomoa na kutukana tu, hata ukijenga barabara hadi kwenye milango yao lazima wataponda tu. Afrika tuna majitu ya ajabu sana.
  12. O

    Tuna akiba ya pesa dollar bilion 5.3

    Hauanzi kutumia akiba kiholela, unabana kwanza kusklizia hali.
  13. O

    Hukumu dhidi yangu: Shukrani kwa watanzania – Maxence Melo

    Watu mkiacha kuweka humu taarifa za uchochezi au uzushi mbona tutaishi vizuri tu bila usumbufu.
  14. O

    GE2020 World Bank yapitisha Mkopo wa Zaidi ya Trillion 1 Uliopingwa na Wanasiasa pamoja na Wanaharakati

    Kha vizuri sana, Magufuli komaa tu watakuelewa mzee, kazi yako inaonekana na kukubalika Afrika yote na dunia yote.
Back
Top Bottom