Habari ndugu mdau,
Baada ya salamu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama inavyo jieleza. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, mayowe ni mengi sana kila kona kwenye mvua.
Bahati nzuri hizi mvua sio mwaka huu tu ndio zinanyesha, miaka yoote zinanyesha lakini akili tuko nazo...
Rejea kichwa habari hapo juu.
Tukiwa tunasubiria Sekeseke la 'kupiga pepa' tufaulu ndio tuajiriwe hebu tupeane dondoo za hapa na pale.
Pepa' itakuaje na labda itakuwa ni content based kwendana na somo au itakuwa teaching methodology.
Au tusikilizie tu liwalo na liwe?
Habari,
Tukiwa tunaendelea kuugulia na kujifariji kwa yale yaliyotokea jana kwa timu yetu ya taifa (Tanzania) dhidi ya Morroco, leo nakupa wataalamu wa hat tricks tokea mashindano haya yameanzishwa kama ifuatavyo;
1. Ad-Diba (1957)
2. Mahmoud El-Gohary (1959)
3. Mohamed Morsi Hussein (1963)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.