Recent content by o_2

  1. o_2

    Mjali mama kijacho wako

    Happy Sunday brother. Nzuri hii.
  2. o_2

    Mke wangu baada ya kupata kazi na mshahara mnono ameanza kunidharau

    Anguko la kila mwanamume kuna mwanamke nyuma yake. Pole.
  3. o_2

    Ufugaji wa kuku

    MBEYA mna ofisi?
  4. o_2

    "FISI HAFUNGI MACHO – STORI YA VIJANA WA MJINI NA MBIO ZA MKWANJA"

    Rashid: "Simple. Kwanza, aache kusingizia serikali. Pili, aache kusingizia wazazi. Tatu, aanze na kile kidogo alicho nacho. Kama ana simu, aanze biashara online. Kama ana skills, ajitangaze. Kama hana kitu kabisa, atafute njia ya kujifunza. Hakuna excuse!" Hii nitaishi nayo👊🏿
  5. o_2

    CLEOPHACE MKANDALA MAESTRO

    Habari za muda huu mdau wa soka la bongo. Moja kwa moja kwenye mada bila kupoteza muda. Rejea kichwa cha habari hapo juu. Huyo bwana mdogo ni mmoja kati ya wachezaji wenye uwezo mkubwa sana uwanjani. Akili jumlisha na maarifa. Sifa zote za kiungo mshambuliaji anazo, kuanzia kwenye kupiga pasi...
  6. o_2

    Mwelekeo wa mchakato wa usaili wa walimu Sekretarieti ya Ajira: Je, nini kinaendelea?

    Hebu tupia mbinu hapa za kupambana na oral interview tupate mwanga. Huu ndio ule mwaka.
  7. o_2

    Kitu kinaitwa 'Job Security' kimewafanya watu wamekuwa masikini

    Unaweza kuchagua 50 ml for two days ukiwa na job security. Akili tu inahitajika
  8. o_2

    Kulikoni ajira za ualimu 2024?

    Kabisa
  9. o_2

    Kulikoni ajira za ualimu 2024?

    Shida ya wote wa pepa moja ..unaweza kukuta idadi inahitajika mmeipata kwenye somo moja. Mfano pepa moja idadi anayoitaka iiingie oral wote kiswahili au kiingereza. Hawatofikia lengo. Lazima iwe kwenye kila somo. Na ikiwa kwenye kila somo ndio hizo nafasi 176k. Lazima waje na suluhisho. Kama...
  10. o_2

    Kulikoni ajira za ualimu 2024?

    Hiyo ya teaching methodology naethi Hiyo ya teaching methodology and ethics...n.k ndio iliyokuwa inatarajiwa..lakini masomo mawili sasa. Na kumbuka kila somo limeombwa tofauti. Wakati ule kupitia Tamisemi..mfumo ulimpa mwalimu fursa kuchagua masomo mawili, yaani major na minor. Ila huu ni moja...
  11. o_2

    Kulikoni ajira za ualimu 2024?

    Kila somo linanafasi yake. Kama unafundisha kiswahili na kiingereza inabidi ufanye interview ya kiswahili na kiingereza. Hata kwenye mfumo, utaratibu wa maombi ulikuwa kwa kila somo. Kufanya mtihani mmoja wote kuna uwezekano wengi wa somo fulani kupata marks za juu, halafu wengine wakapata...
  12. o_2

    Sintofahamu Ajira za Walimu

    Kilichoongeza idadi hiyo ni idadi ya masomo ya kufundishia. Kama kuna mwalimu alituma maombi zaidi ya mara moja nikiwa na maana ya masomo mawili let say kiswahili na kiingereza idadi itaonekana walimu wawili. Kwa hiyo 170,000 sio idadi sahihi ya watu.
  13. o_2

    LGE2024 Nenda kajiandikishe

    Tayari. Nimejiandikisha. Nasubiri siku ya kuchagua kiongozi nitakaye muona anafaa.
  14. o_2

    LGE2024 Nenda kajiandikishe

    Hii inafanyika kwasababu watu wanahama, wanakufa....lazima daftari liboreshwe. Lihuishwe ili taarifa sahihi za mpiga kura zipatikane. Narudia tena. Ni zoezi la dakika mbili tu. Kisha unaendelea na shughuli zako ukisubiri tarehe ya kupiga kura.
Back
Top Bottom