Recent content by o_2

  1. o_2

    Hii hali mpaka lini? Tulaumu mvua?

    Habari ndugu mdau, Baada ya salamu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama inavyo jieleza. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, mayowe ni mengi sana kila kona kwenye mvua. Bahati nzuri hizi mvua sio mwaka huu tu ndio zinanyesha, miaka yoote zinanyesha lakini akili tuko nazo...
  2. o_2

    KIDATO CHA NNE KULIPIA CHETI NI SAHIHI?

    Umeuliza cheti kinacholipiwa TZS 8,000/- ni cheti gani? Nenda shule. Piga simu ujue.
  3. o_2

    Niliyoyaona Msumbiji kuhusu vyakula, silaha, mavazi, ngono na mengineyo

    Bila picha, hizo story ni porojo tu.
  4. o_2

    Hivi kuna ushahidi gani wa kwamba mimea haipati maumivu inapokatwa?

    Wito Achana na kilevi unachokitumia. Hii ni ishara mbaya kwa afya yako ya akili.
  5. o_2

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Life don't get easier. You get stronger. Tokea januari mpaka leo kama bado anapumua, you will be there. Keep up.
  6. o_2

    Mtihani kwa walimu wapya 2024/2025

    Rejea kichwa habari hapo juu. Tukiwa tunasubiria Sekeseke la 'kupiga pepa' tufaulu ndio tuajiriwe hebu tupeane dondoo za hapa na pale. Pepa' itakuaje na labda itakuwa ni content based kwendana na somo au itakuwa teaching methodology. Au tusikilizie tu liwalo na liwe?
  7. o_2

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Bookkeeping, account na economics sivioni wadau. Msaada mwenye navyo
  8. o_2

    Nimetafuta kazi mpaka nimechoka najiona sina faida hapa duniani

    Fala wewe. Tupo tokea 2015 na tunadunda. Jikaze.
  9. o_2

    Matokeo ya hii shule ni ya ajabu zaidi kuwahi kuyaona ni private school

    Mwalimu wa kiswahili apewe maua yake.
  10. o_2

    MWAMBA NA GOLI 3 ZA AFCON

    Aaah hahahaha
  11. o_2

    MWAMBA NA GOLI 3 ZA AFCON

    Habari, Tukiwa tunaendelea kuugulia na kujifariji kwa yale yaliyotokea jana kwa timu yetu ya taifa (Tanzania) dhidi ya Morroco, leo nakupa wataalamu wa hat tricks tokea mashindano haya yameanzishwa kama ifuatavyo; 1. Ad-Diba (1957) 2. Mahmoud El-Gohary (1959) 3. Mohamed Morsi Hussein (1963)...
  12. o_2

    Nini hiki?

    We don't deserve this humiliation. 3 goals [emoji26]
  13. o_2

    Nini hiki?

    Anapanga wachezaji hawana ligi. Wapo tu maskani [emoji24]
  14. o_2

    Nini hiki?

    [emoji23]
Back
Top Bottom