Ili jina Lako Lianze na Neno Enginer,Baada ya kumaliza Adv.Diploma au Bachelor,
Lazima Uwe umepractice kazi za Engineering Kwa Vitendo Kwa zaid ya Miaka 5 na usajiliwe ma Board ya Wakandarasi.
So kama AliPractice Shida ni nn?
& Elewa Board haikupi jina hilo kama zawado bali uwezo wako!
wewe ungejuaje bila kuona na kuskia kwenye vyombo vya habari?
Serikali Safi Haihitaji kujificha ficha.
Kujificha ni dalili za kuficha uovu.
& hiyo inasaidia pia wenye Tabia hzo waogope na waache kabisa.
Iwe fundisho kwa wengine ndo maana hata hukumu ya mahakama inakua waz ili iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.