Binafsi sikushangaa kusikia scandal ya Kapuya maana namjua ni mzee wa totoz. Hebu click link hii uone namna dingi huyu anavyojiweka kwenye mazingira hatarishi ya kutafuna totoz:
KHAA! MHE. KAPUYA - Global Publishers
Jamani tuwe macho na matapeli katika ajira. Mimi nimenusurika. Hebu soma hii:
Siku moja nilipigiwa simu na mtu mmoja aliyejitambulisha kuwa ni Dr Joseph Mwakabonga kutoka WHO, Tanzania. Alijifanya kuwa ananifahamu kabisa na aliniita kwa jina japo mimi simfahamu kabisa na sikumbuki kama...
Hao watafiti waongo tu.Inakuwaje wananchi hawawajui wabunge wakati wao ndo waliwachagua. Wanataka kutumabia hata Majembe kam Mnyika na Halima hayajulikani. Hata Waziri Mahanga hawamjui, wakati ni mbunge wa miaka mingi!
siyo kweli kwamba serikalini hakuna fedha, fedha zipo ila ni matatizo tu ya mtandao.Jamani acheni uzushi.mimi niko jikoni ninajua kila kitu.Tafadhali anayedai serikali haina fedha athibitishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.