Recent content by Nzigiyealbert

  1. N

    Hali tete wakuu mwenye connection kazi za Ulinzi

    Nafasi za kazi PSG GUARDS Tarehe ya mwisho imesogezwa mbele hadi tarehe 5-June , 2023
  2. N

    Natafuta mume

    natamani nikuone niongee na wewe ....
  3. N

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Bado huko chini kifikra ila waza utajua namaana gani kwa watu kama hao kwa nyakati kama izi ,,, wao ni vioo vya jamii sasa wasije danganywa na kundi la wanasiasa na wao wakatumia nafasi zao katika Sanaa kuhuhadaa ulimwengu kwa kusifa eti fulani ni mzuri na Fulani ni mbaya wakati wamesahau maisha...
  4. N

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Kwa kawida Binadamu wengi hupenda burudani haswa ya mziki, nikiwa mmoja wao aswa mwanamziki wetu Diamond Plutnumz... Kiukweli inaniumiza nikimuona anaanza kuingilia haki zetu za msingi kabisa aswa wakati huu wa uchaguzi.. Suala la kampeni za kisiasa yeye alimhusu kabisa aswa ukilinganisha yeye...
  5. N

    M4C oil chafu kiboko ya mchwa

    Kama bado ujaelewa nini watu tunataka (UKAWA) utakuwa na akiri ndogo saana na hatuwezi kukubadilisha mpaka october naamini utakuwa wa kwanza kujipendekeza,,,,, na ujue nafasi hii ya kutubu ni sasa ukichelewa utatukuta kwa Mungu.
  6. N

    Magufuli aagiza wanafunzi, wasafiri bure

    sijakuelewa hapo kwenye gharama ya kivuko mkuu unatakakumaanisha milion 3.3 au ni bilion 3.3 naomba ufafanuzi hapo, lakini kama kivuko hicho kimeigharimu serikari shilingi milion 3.3 mbona ni fedha kidogo saana ambozo zisinge paswa hata kuwa na matangazo mengi ,,,,, pia na kama ni shilingi...
  7. N

    Magufuli aagiza wanafunzi, wasafiri bure

    Serikali imeagiza wanafunzi na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Mtwara Mikindani na kata ya Msangamkuu, watasafiri bure kwenye kivuko cha Mv Mafanikio. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, wakati akimkaribisha Rais Jakaya Kikwete kuzindua kivuko hicho. Alisema...
Back
Top Bottom