M4C oil chafu kiboko ya mchwa

M4C oil chafu kiboko ya mchwa

Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona
hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of
shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana,
ila ukombozi wako bado sana!
"POLITICS IS A DIRTY GAME LEAVE IT TO US
WHO KNW HOW TO PLAY IT..... " chinua achebe

Hiyo ndiyo SIASA, OIL CHAFU inapochanganyika na MAKAPI haifai kabisa pale LUMUMBA.
 
Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona
hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of
shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana,
ila ukombozi wako bado sana!
"POLITICS IS A DIRTY GAME LEAVE IT TO US
WHO KNW HOW TO PLAY IT..... " chinua achebe

Hiyo ndiyo SIASA, OIL CHAFU inapochanganyika na MAKAPI haifai kabisa pale LUMUMBA.
 
Kiboko ya mchwa ni oil ila oil chafu ni uchafu

Oili chafu ni ipi? Upinzani imara utatoka ccm alisema Nyerere; sina uhakika kama alimaanisha itakayotoka ccm ni oili chafu au makapi. Kwa vyovyote alimaanisha watatoka watu thabiti, imara, wenye nguvu za kweli za kisiasa za upinzani; akimaanisha watakataa ujinga fulani mle ndani sasa hapo makapi nani aliyetoka au aliyebaki? Zingatieni kauli za Mwalimu hakuwa anabwabwaja wala kuvuvuzela
 
Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona
hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of
shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana,
ila ukombozi wako bado sana!
"POLITICS IS A DIRTY GAME LEAVE IT TO US
WHO KNW HOW TO PLAY IT..... " chinua achebe
Kama bado ujaelewa nini watu tunataka (UKAWA) utakuwa na akiri ndogo saana na hatuwezi kukubadilisha mpaka october naamini utakuwa wa kwanza kujipendekeza,,,,, na ujue nafasi hii ya kutubu ni sasa ukichelewa utatukuta kwa Mungu.
 
Ule mchwa uliomaliza rasilimali zetu hatimae umepatiwa dawa na sumu kali,Ukawa wakiongozwa na Lowasa.sasa tuna uhakika rasili mali zetu zitakuwa salama.

Dhahabu,tanzanite na Tembo hawataoza tena wala kuibiwa.
 
Dah hii nimeipenda sana, kweli nape unalo mwaka huu njoo najingine tena
 
Tunamngoje njia panda.dawa ya lugha chafu.halufu ya choo ananyamaza mwenyewe
 
Mchwa ni hatari sana kwa mazao hasa wanapovamia mashamba.Ukitaka kuua mchwa na wadudu watafunao mbao we weka oil chafu.October mwaka huu lazima mchwa watagunao mama Tanzania waangamizwe.Ukiitwa oil chafu itikia kwa kusema dawa ya kuangamiza mchwa watafunao mama Tanzania
 
Back
Top Bottom