Recent content by Nziajose

  1. N

    Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

    Hawa jamaa kweli wa Tanganyika, maana walikuwa wanakula watu kama jamaa zetu wachongaji
  2. N

    Onyo: Forex trading haina mamlaka ya usimamizi

    Kabla ya kufanya forex ni vema uwe unajua tofauti ya Investing, speculation na gambling. Forex is purely speculation kama uko well trained otherwise is gambling. Kama unataka kufanya hii kitu fanya kwa kutumia hela ndogo ambayo unaweza kuipoteza bila kukuathiri mambo yako na cha umuhimu zaidi...
  3. N

    Hongera DSE na Max Malipo sasa Boresheni Huduma

    DSE inatakiwa ianzishe DSE App kama walivyo majirani zetu kenya (NSE App) ili kuwawezesha wawekezaji waweze kupata taarifa kwa haraka na kurahishia kufasha shughuli za uwekezaji kupitia simu, halafu ijitahidi katika kutoa taarifa sahihi na kwa haraka katika website yao.
  4. N

    Millionaires mindset

    well stated
  5. N

    Mambo muhimu sana unapaswa kujua kuhusu hisa za Vodacom

    Ni kampuni nzuri lakini tatizo liko kwenye valuation, hisa ziko overpriced (angalia P/E halafu linganisha na peer i.e Safaricom na Voda ya South). Pia angalia ROE, jaribu kulinganisha na Peer.
  6. N

    Nimesikia Tangazo Moja Kuhusu HISA, naomba ufafanuzi zaidi

    Kabla yakununua hisa za toleo la awali ni vyema ukosoma kwa makini waraka wa matarajio, waraka wa matarajio unaweza kupata katika mtandao (tovuti yao, ya soko la hisa, ya mamlaka ya mitaji na dhamana, google, n.k). kumiliki hisa ni kumiliki sehemu ya kampuni na sio kumiliki kipande cha karatasi...
  7. N

    Rostam Aziz Tanzania First Billionaire sells his Vodacom Shares (Forbes Magazine)

    Kwani ni dhambi mtu kuwa tajiri nchi hii? maana mtu akiwa tajiri asipoambia fisadi basi ataambiwa freemason, tax evasion ni moja ya mbinu za kijasiriamali.
  8. N

    udom wababaishaji tu

    Washatuma barua mwezu huu kwa waliofaulu interview, kwa hiyo kama hujapata barua ujue hukufaulu
  9. N

    Business Opportunity meeting

    Funguka zaidi
Back
Top Bottom