NA IMANI NA MA PREZDA JPM.TANZANIA WILD LIFE RESEARCH INSTITUTE KAMA TAASISI MOJAWAPO YA MALI ASILI.PALE MKURUGENZI,HR,WAHASIBU NI WAPIGA DILI WAMECHAKACHUA PESA ZA UJENZI WA HQ JENGO HALINA UBORA,WAO MAKWAO WANA MAHEKALU.WANAUZIANA MAGARI YA OFISI KWA THAMANI YA NYANYA.MAJIPU KIBAO BADO KUNA HR...
NIPO DAR ELIMU CHUO FIELD PROCUREMENT AND LOGISTIC MANAGEMENT.NATOA HUDUMA YA KUFUNDISHA MASOMO YA O LEVEL NA MBINU YA KUFAULU MASOMO HAYO.PIA KAMA UNATAKA KUFAULU UCHUMI NICHEKI KWA 0653663399
HABARI ZA MUDA HUU WAPENDWA NAPENDA KUWATANGAZIA FURSA YA MKOPO KWA WAFANYAKAZI.FAIDA YA MKOPO HUU UNAPATIKANA NDANI SAA 24 TU,HAKUNA GHARAMA ZA MKOPO NA PIA RIBA YAKE NI 4%.AFRICAN CAPITAL LTD NI MPYA KWA SASA IMEANZA KUFANYA KAZI KENYA TANZANIA INAMUDA WA MWAKA MOJA SASA.MAKAO MAKUU YAPO POSTA...
Naitwa agustino makaranga saire.mzaliwa wa babati.mara ya mwisho kuonana na babangu ni 1992 babati manyara ila mamangu aliniambia kuwa babangu mdogo anaitwa saire.kabila ni mjita na wanaishi majita ziwani ukoo ni makaranga.kwa mwenye taarifa zao anicheki 0756027836
Baba wangu mdogo nilionana nae mara ya mwisho mwaka 1992, nawaombeni kwa yeyote anaemfahamu Saire Makaranga call 0756027836.
Baba na mama walikuwa walimu wa shule za msingi ila kwa taarifa za juu ni kwamba baba mzee Ibrahimu alishaenda mbele ya haki, dhamira yangu ni kuwajua ndugu zangu kabila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.