mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Tumepata Habari kutoka usomaji magazeti kwamba Mtoto wa kamanda Kova amekamatwa bandarini akiiba kontena.
Ukipenda kunyoshea watu vidole usisahau na wewe ipo siku utanyooshewa vidole,
Kova atoe taarifa kama alivyozoea kujitokeza kwenye TV na kutueleza wizi wa Mtoto wake, halafu nilimwona akijikomba eti atakuwa mwanasiasa hatutaki wanasiasa wanaofuga wezi nyumbani kwao.
Mkuu fafanua vizuri!!!!!!!
Alikamatwa akiiba kontena kivipi????