Recent content by nzara

  1. nzara

    Unyama na ukatili wa Waarabu wa Oman kwa wafanyakazi weusi wa ndani ya nyumba (Housemaids)

    Dada zetu pia msidanganyke nje kitu gani kama ipo ipo tuu
  2. nzara

    Updates: Mkutano wa Lema na Kafulila Kahama

    Kagonjwa hako
  3. nzara

    Ikulu: Makonda ni kijana muadilifu

    Hiyo nifadhira kwa kua kuwadi mzuri wa madem na kilicho mbeba makonda ni kumletea bos wake dem mkali cheni maguu yote dc!! hiyo sio ikulu ni izuru!!
  4. nzara

    CHADEMA waanika uvundo wa BVR; 'mchezo' hatari wa NEC, Serikali na CCM

    kazi ipo hii ccm sijui itatufikisha wapi hazina kukosa hela si inji hii imefirisika itakuaje na nyoka wa makengeza ndo hata hawaguswi!!
  5. nzara

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    mm nilishaapa kutofungua a/c n.m.b huduma hovyo kabisa unakuta dilisha 7 labda linalofany kazi ni moja tu tena taraaatiiibuuu dada wa watu mara ajibu msg za cm mara atokeee duu kwer bank y makabwera mwanza r/d
  6. nzara

    World Bank nao wasitisha misaada kwa Tanzania

    muhongo ameiona hii au atabisha tena!! tutafika twendeni wajemenii!!
  7. nzara

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    escrow inajibu bwna ukawa juuu mbwa sana ccm wameshatuchosha nimefarijika sana kwa matokeo hyo japo c ya nchi nzima ila nimepata mwanga hongera mdau
  8. nzara

    Kikao cha dharula: Kitimoto kwa wabunge wa CCM wanaopigia kelele Escrow

    keroTRA MZA hapa mza kuna mtu anaitwa HAULE na dem wake BETRICE hawa watu ni kero na sijui kuna nani nyuma yao coz wanaomba rushua kama vile mmeuziana shamba, Rusana unawajua hawa!? sio mpaka tuandamane wafanyabiashara!? fukiza mara moja au tuwashikishe za pcb!!!
  9. nzara

    Mwanza: Mabomu yapigwa kuwatawanya machinga wa Makoroboi

    watz ni mizigo tuu sasa wwe unaakili unachagua mhindi kua diwani wa kats ya mjini,? ni msukuma gani yuko india ni kiongozi hata wa baar!? matokeo ndo hayo!
  10. nzara

    Dogo afumaniwa na mke wa kigogo Mwanza

    Mchepuko nomaa atakiwa kulipa milion la sivyo aliwe tigo na mwenye mke!! picha zinagoma kuzpost!!
  11. nzara

    dogoo

    Dogooo
  12. nzara

    Dogo afumaniwa na mke wa kigogo Mwanza

    Fumanizi mwanza kitangiri dogo aaihidi kulipa fidia chini ya kiongozi wa mtaa chec tukio!!& ============= MCHEPUKO!! Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine (24), mkazi wa mtaa wa Kitangiri jijini Mwanza amenaswa ‘live' gesti akiwa na mke wa kigogo mmoja (jina kapuni)...
  13. nzara

    Huyu mtangazaji wa redio Free Afrika yupo wapi kwa sasa?

    mkuu ubahili wa boss ndo unauwa radio
  14. nzara

    Mauaji Geita: IGP atoa sh10m

    hao ni warundi tu milion kumi mrundi utampata wapi!!!
Back
Top Bottom