Sahihi kabisa.....
Vyakula bei ilikuwa chini sana,,,,Mchele wengi waliufuata mpaka kwenye bonde la Ziwa Rukwa.
Sasa umenikumbusha kipindi tunajenga barabara ya Nzega...Tinde...then Tinde....Maganzo...na Tinde...Isaka,,,Mchele ulikuwa Jelojelo kwa kilo,,nyama ya kondoo tunanunua kwa mapande siku...