NAKUBALIANA NA WEWE MY NDUGU,
MIE SI MWANA SIASA...LAKINI LINAPOKUJA SUALA LA UTAIFA ...HATA KAMA TUNA MAKANDOKANDO...TUJISIMAMIE WENYEWE BILA KUTEGEMEA 'NGEDERE YEYOTE'...KUTOKA POPOTE,
HUU NI MSIMU TU ....YATAPITA.....
Swali zuri
Kipindi anauza genge alikuwa over 50....na sasa nilipokutana nae muonekano we ni ule ule......huu ulimwengu una mambo mengi sana...."time traveller" etc
Kuna kitu wanaita "dimension" ngapi ngapi sijui.....mixer frequency......ambapo watu wanaishi lakini sisi hatuna uwezo wa kuona.....labda macho ya paka kwa kiasi huona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.