Recent content by nzalendo

  1. nzalendo

    Dkt. Mwigulu: tuendelee kumuombea Lukuvi

    KAusha
  2. nzalendo

    Waliokufa kabla ya Yesu kuja duniani wataokolewaje?

    Inahitaji mambo kadhaa,,hasa utulivu wa nafsi,,,na kusikia ile sauti yako ya ndani inakuambia nini. Hapo ndipo kwenye jibu Si lazima libandikwe hapa We kausha nalo kimtindo
  3. nzalendo

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Mkuu bila shaka wewe ni okota okota wa malapulapu :):):)
  4. nzalendo

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Ameacha bonge la Hoteli,,,,,,,
  5. nzalendo

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    2026-1995=31 !! Aisee??
  6. nzalendo

    Je, nianzie wapi kufikia lengo langu?

    Omba Mungu kwanza.... Manake watu wana WIVU sana....
  7. nzalendo

    Usiku kuwa mfupi na masaa kwenda kasi kwa nyakati hizi nini sababu?

    Huu mwezi March day light saving kaskazini mwa dunia mrejeo katika mzungukoe mchana ni mrefu kuliko usiku saa 1 limesogezwa mbele......hata hivyo uvutano kati mkinikao marejeo ngamiani.
  8. nzalendo

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Aaaah! Tafadhali Shehee,,,ina maana hata wewe hujui? au watafuta STORI???
  9. nzalendo

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Kama ukiruka na ndege usiku......jiji la Dar linapendeza sana halafu ni kubwa kama vile Bagamoyo ishaungana mixer Kibaha cum Mbagala...usifanchezo
  10. nzalendo

    Tanzania Yatumia Bilioni 23 Kuagiza Maziwa Nje Ya Nchi

    Zamani viwanda vilikuwepo Maziwa Arusha....halafu pale Mara kulikuwa na Samli ukipikia vyapati mpaka mtaa wa bondeni hufurahia harufu.
  11. nzalendo

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    MTAZAMO
Back
Top Bottom