Pole sana mkuu, ila ingependeza umchukue dada yako uishi naye kwa hali yoyote na wanae endelea kupambana mpaka Mungu atakapokuvusha kwenye huo mtihani.
Pole sana, ni changamoto unapitia itumie kama fursa kwa kupambana kwa hali na mali na hakika Mungu ni Mwema utavuka na mambo yataenda sawa.
kwa mujibu wa wakale de Souza alikuwa fundi cherehani aliempa dili na aliekuwa anajulikana na wachache kama mvumbuzi halisi ni msukuma mmoja kutoka mwadui aliekuwa anaitwa Daudi Mayaya...yeye nae alionyeshwa na mkamba aliekuwa akiwinda maeneo hayo na kutokana na uzoefu wake kutoka kwenye almasi...
mara nyingi maumivu ya koo hasa wakati wa kumeza mate husababishwa na "tonsils" (matezi) huduma ya kwanza na rahisi na wengi huwatibu kabisa ni maji ya vuguvugu yenye chumvi unasukutua(unagogoa kwenye koo)kutwa mara3
pole sana mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.