Dah ama kweli waliosema maskini akipata matako hulia mbwata hawakukosea yaani kuna vitu kumbe simba tulikuwa tunachukulia for granted sana , pongezi mbalimbali, ranks za levels za juu afrika, kwa miaka 4 kuna majuha yameteseka yakageuka kamati za mapokezi na kutengeneza majungu kwa teams za kuja...
Azam walimtosa hadi ubalozi, Bakhressa hapendi mambo ya kijinga alivyoanza kumtukana Mo kwa ku compare na Bkhressa mzee akaona utoto huu.
Hata Harmonise alivyotoa kale kanyimbo alihisi mzee angebabaika ndo kwanza siku hiyo kafika kwa mzee bila appointment kule masaki kaishia kufukuzwa getini...
jana nilimuona kwenye list nikaanza kutukana ila kanishangaza sana kanikumbusha samatta wa miaka 4 iliyopita yaani kama angekuwa na support ya bocco, lyanga au nado ingekuwa balaa
Nimeandaa petition bwana MO arudishiwe hela yake hiyo b 20 hatuitaki tunataka makombe tu..yaani TAPELI ndani ya miak 4 limetupeleak robo fainali 2 na ubingwa back to back 4 TUNALIPENDA SANAAAAAA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.