zanzibakwetu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 618
- 377
Mwambie Babra tunamsubiri Simba a.k.a VunjaBei SC Tarehe 25/9 kwenye Ngao ya jamii,Tutatafuna Nyama yake,Tutakunywa Supu yake na kula mifupa yake yote.Ndiyo mwisho wa makelele yenu.Tena hatutakuwa na huruma mwambie ajiandae kwa hilo aache umbea kufuatilia wanaumeSi mnajifanya mnafichaficha huku mkitumia muda mwingi Kuvihonga Vyombo vya Habari nchini viiseme vibaya Simba SC na nyie viwe vinawapamba tu?
Haya Waambieni sasa akina Bumbuli na Manara waje wawape Ufafanuzi na Ukweli uliopo juu ya hawa Wachezaji wenu Watatu niliowataja katika Headline yangu Kudadeki zenu.
GSM na Injinia Hersi Said wenu Kutwa wanawadanganyeni huku wakiwanyonya na Kuwatapeli kisha mnawaamini na Kuwaona ni Wakombozi Kwenu na wanawapelekeni kuzuri wakati kumbe ndiyo wanazidi tu Kuwadidimiza.
Kama kuna Mtu ambaye huwa nina bahati Kubwa ya Kupata Taarifa za Siri za Yanga SC basi ni Mimi Mightier na kuna Taarifa zingine Nyeti zingine Mbili moja ya Kumhusu Mwenyekiti Msola na GSM na ya Matawi ya Yanga na Injinia Hersi namalizia Kuzichakata ili nizimwage hapa hapa JamiiForums moja baada ya nyingine.
Yanga SC mtaniomba Poo wenyewe JF!!